kimunyesam
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 220
- 202
Cc:#faizafox
jamani niwape kituko! nikiwa sekondari miaka. ya 80 mwishoni nilikua nacheza karate, sasa ukaja ubishi kwamba wanaokimbiza mwenge hua na makomando wamo. ili ku proove ukija mwenge ukiupokea tokanao nduki, lakini Ki ujanja sana wasigundue,ukakamavu unahitajika kukaanao muda mrefu wasıkunyang,anye. basi. tulijipanga kutest zali. kweli tukapokea halafu washikaji wakajifanya kukomaa nikae nao muda mrefu! jamani dhoruba niliyopigwa huku watu wanaimba sintosahau! na hakuna mwananchi alie elewa nini kinaendelea. sasa huyo wa kumtest raıs akae tayari!