Kwa mujibu wa mkataba kati ya Germany East Africa (Tanganyika enzi hizo) na Sultan wa Zanzibar, Sultan alipewa kutawala hadi maili 10 ya pwani ya Tanganyika.
Pia Sultani alipewa kutawala hadi Mombasa na Waingereza.
Kwa kuwa Sultani anarudi kutawala, maili 10 ndani ya Dar, Tanga, na Bagamoyo itakuwa sehemu ya Zanzibar, pia Mombasa nayo.