Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,859
- 90,344
Iringa si kweli.MIKOA ILIYOVUNJA REKODI KWA KUMPOKEA TUNDU LISU MPAKA USIKU WA TARE 25/09/2020
1. MBEYA
2. MWANZA
3. IRINGA
4. KAGERA
5. SONGWE
6. NJOMBE
7. GEITA
MIKOA ILIYOONYESHA MBWEMBWE KATIKA KUMPOKEA TUNDU LISU MPAKA USIKU WA TAREHE 25/09/2020
1. MWANZA.
2. SONGWE (HASA HASA TUNDUMA)
3. MBEYA
4. GEITA
5. KAGERA
MIKOA ILIYOVUNJA REKODI KWA MAPOKEZI HAFIFU MPAKA USIKU WA TARE 25/09/2020
1. MOROGORO
2. DAR ES SALAAM
3. KILIMANJARO
4. ARUSHA
5. KIGOMA
MIKOA INAYOTARAJIWA KUVUNJA REKODI ZAIDI ENDAPO TUNDU LISU ATAPITA TENA
1. ARUSHA
2. KILIMANJARO
3. DAR ES SALAAM
MIKOA ITAKAYOVUNJA REKODI YA JUMLA MPAKA KUFIKIA 28/10/2020
1. MBEYA
2. MARA
3. MWANZA
4. ARUSHA
5. DAR ES SALAAM
6. KAGERA
7. IRINGA
8. GEITA
MAJIMBO MUHIMU YANAYOTAKIWA YAPITIWE TENA KABLA YA 28/10/2020
1. Jimbo la Mvomero, na Turiani Morogoro
2. Jimbo la Mikumi na Kilombero
3. Jimbo la Rungwe na Kyela
5. Jimbo la Bukoba mjini
6. Majimbo ya moshi mjini, hai, siha, mwanga na same mashariki.
KAMPENI ZIFUNGIWE JIJI LA MBEYA
Kwa mwaka huu Majimbo ya nyanda za juu kusini ni muhimu sana.
Halima Mdee apewe Backup ya kutosha, maana yupo hatarini.
Video hapo chini, ni wakazi wa MWANZA. HONGERA SANA KWA WANAMWANZA. Wabehja
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Herili nilitaka kukupigia simu leo kama nisingeona uzi wako maana jana usiku ni Vile sikupata mda tu......usikae kimya hivo bro nyuzi zako zinamadini sanaMIKOA ILIYOVUNJA REKODI KWA KUMPOKEA TUNDU LISU MPAKA USIKU WA TARE 25/09/2020
1. MBEYA
2. MWANZA
3. IRINGA
4. KAGERA
5. SONGWE
6. NJOMBE
7. GEITA
MIKOA ILIYOONYESHA MBWEMBWE KATIKA KUMPOKEA TUNDU LISU MPAKA USIKU WA TAREHE 25/09/2020
1. MWANZA.
2. SONGWE (HASA HASA TUNDUMA)
3. MBEYA
4. GEITA
5. KAGERA
MIKOA ILIYOVUNJA REKODI KWA MAPOKEZI HAFIFU MPAKA USIKU WA TARE 25/09/2020
1. MOROGORO
2. DAR ES SALAAM
3. KILIMANJARO
4. ARUSHA
5. KIGOMA
MIKOA INAYOTARAJIWA KUVUNJA REKODI ZAIDI ENDAPO TUNDU LISU ATAPITA TENA
1. ARUSHA
2. KILIMANJARO
3. DAR ES SALAAM
MIKOA ITAKAYOVUNJA REKODI YA JUMLA MPAKA KUFIKIA 28/10/2020
1. MBEYA
2. MARA
3. MWANZA
4. ARUSHA
5. DAR ES SALAAM
6. KAGERA
7. IRINGA
8. GEITA
MAJIMBO MUHIMU YANAYOTAKIWA YAPITIWE TENA KABLA YA 28/10/2020
1. Jimbo la Mvomero, na Turiani Morogoro
2. Jimbo la Mikumi na Kilombero
3. Jimbo la Rungwe na Kyela
5. Jimbo la Bukoba mjini
6. Majimbo ya moshi mjini, hai, siha, mwanga na same mashariki.
KAMPENI ZIFUNGIWE JIJI LA MBEYA
Kwa mwaka huu Majimbo ya nyanda za juu kusini ni muhimu sana.
Halima Mdee apewe Backup ya kutosha, maana yupo hatarini.
Video hapo chini, ni wakazi wa MWANZA. HONGERA SANA KWA WANAMWANZA. Wabehja
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwann arudi maeneo ambako chadema imeonekana kushanikiwa Sana kama haya? Nadhani ni vema akajielekeza maeneo ambako ccm inajivunia zaidiMAJIMBO MUHIMU YANAYOTAKIWA YAPITIWE TENA KABLA YA 28/10/2020
1. Jimbo la Mvomero, na Turiani Morogoro
2. Jimbo la Mikumi na Kilombero
3. Jimbo la Rungwe na Kyela
5. Jimbo la Bukoba mjini
6. Majimbo ya moshi mjini, hai, siha, mwanga na same mashariki.
Macho yako mabovu pengine peleka kwa fundi saa yarekebishweIringa si kweli.
Watu hawakuwa wengi pia uwanja ambao ulitumika ulikuwa mdogo.
mfaa maji wewe, mwaka huu mtajibu mpaka vifo vyenu.TAKWIMU FEKI LISSU HANA LAKE ANASINDIKIZA TU
Uwanja wa mwembetogwa ni mdogo hata mbunge au diwani akijipanga vizuri anaujaza.Macho yako mabovu pengine peleka kwa fundi saa yarekebishwe