Mpaka sasa No Reforms No Elections 10 tunatiki 0

Mpaka sasa No Reforms No Elections 10 tunatiki 0

Maharo

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
3,530
Reaction score
2,641
Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0

Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki

Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
 
file_00000000a19c61f7a8a31c72919aef6b.png
 
Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0

Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki

Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
 
Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0

Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki

Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Data ziko wapi?
 
Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0

Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki

Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Usishau tuna tiki kuna bajeti kabisa lakini No reform No Election ni nguvu ya Umma tunaweza kusema huwezi kushindana na nguvu ya Umma
 
Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0

Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki

Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Mmoja ni nikamuuliza mnatiki nini , akasema wagombea wetu, nikauli hawahawa au wapo wengine , katoka nduki hajanijibu
 
Back
Top Bottom