Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0
Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki
Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki
Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia