Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 36,593
- 61,280
HahahaImagine halafu mtu anakuja kutaka tutoe takwimu wakati tunatiki wana bando la pesa ya mlipa kodi Bush Dokta
Aibu sana hii
HahahaImagine halafu mtu anakuja kutaka tutoe takwimu wakati tunatiki wana bando la pesa ya mlipa kodi Bush Dokta
Aibu sana hii
Wanekula nduki
Nani atiki kwa watekaji na wauaji?Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0
Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki
Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Uko sahihi kabisaNani atiki kwa watekaji na wauaji?
Labda mtu huyo awe kichaa