Mpaka sasa No Reforms No Elections 10 tunatiki 0

Mpaka sasa No Reforms No Elections 10 tunatiki 0

511cff82-ecff-4a27-9df0-12eb14f4e3fd.jpeg
 
Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0

Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki

Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Nani atiki kwa watekaji na wauaji?
Labda mtu huyo awe kichaa
 
Back
Top Bottom