Mpaka sasa Ndugu Polepole ana kesi ya uchochezi labda na Uhaini pia

Mpaka sasa Ndugu Polepole ana kesi ya uchochezi labda na Uhaini pia

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
766
Reaction score
1,884
Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike Segerea hadi 2030.

Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise asubiri kusujudia watu kwa ajili ya mustakabali wake.
 
Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike Segerea hadi 2030.

Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise asubiri kusujudia watu kwa ajili ya mustakabali wake.
Polepole akipata hiyo kesi atafurahi sana maana ataona mmempa anachotafuta.
 
Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike Segerea hadi 2030.

Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise asubiri kusujudia watu kwa ajili ya mustakabali wake.
Kamanda wa mbowe hembu toa ilo gwanda hapo
 
Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike Segerea hadi 2030.

Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise asubiri kusujudia watu kwa ajili ya mustakabali wake.
Uhaini ni vitendo sio maneno matupu.
 
Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike Segerea hadi 2030.

Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise asubiri kusujudia watu kwa ajili ya mustakabali wake.
CCM chama cha majambazi
 
Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike Segerea hadi 2030.

Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise asubiri kusujudia watu kwa ajili ya mustakabali wake.
Kuanzisha theead namna hii kwa kutumia verified ID uwe makini sana hatuitaji uchawa
 
Ila wabongo Kwa uwoga aisee!!!!! Mwenyewe polepole mbona Hana huo uwoga?
 
Pole pole mpaka ameamua kuacha ubalozi amezingatia hayo yote na anajua pia ni ngumu kutokea kwa nature ya Tanzania na wananchi kwa ujumla

Tatizo watanzania wengi hawana purpose yoyote kwenye maisha yake akijitahidi sana kumaliki gari na nyumba ameona amemaliza kila kitu

Hii inapelekea ukiwa na malengo tofouti wanakushangaa na kukuona umekosea sana
 
Alikuwa anamtishia Rais kwamba akichukua fomu atamuua, huo ni uhaini
 
Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise asubiri kusujudia watu kwa ajili ya mustakabali wake.
Na endapo muujiza huu hautatokea Polepole ataishia ama ataishi kwa shida sana yeye na ukoo wake miaka 5 ijayo.
 
Mramba na ramli chonganishi.


Kuna manabii wanatabiri majanga kwa wakuu. Hivi ikitokea la kutokea,
 
Kwa jinsi ambavyo nimemfuatilia Ndugu Polepole na kwa jinsi mambo ya kiCCM yanavyoendeshwa ni dhahiri siku wakimkamata ana kesi nzito ya Uchochezi na akikaa vibaya wanambandika Uhaini akapumzike Segerea hadi 2030.

Polepole ana option moja tu kupambana hadi muujiza anaouamini utokee otherwise asubiri kusujudia watu kwa ajili ya mustakabali wake.
1754832911435.jpeg
 
Pole pole mpaka ameamua kuacha ubalozi amezingatia hayo yote na anajua pia ni ngumu kutokea kwa nature ya Tanzania na wananchi kwa ujumla

Tatizo watanzania wengi hawana purpose yoyote kwenye maisha yake akijitahidi sana kumaliki gari na nyumba ameona amemaliza kila kitu

Hii inapelekea ukiwa na malengo tofouti wanakushangaa na kukuona umekosea sana
Ni kweli watanzania ni watu wa kuridhika sana
 
Kashasema hana ndoto wala malengo hayo mliyonayo.
Future yake kamwachia mungu
 
Halafu we kahaba si uko mbogamboga chama la mazwazwa ?,hizo nguo za Chadema unavaa ili iweje ?
 
Back
Top Bottom