Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,238
maskini mmeishia kujifariji JF tu
pole
Ndio maana wanaotaka lowasa awe rais marazote huwa hawana sababu zozote za msingi na hapo ndipo nguvu ya pesa inapojidhihirisha.
Mtaji wa lowasa ni masini wa aina tatu
1. Masikini wa kipato
2. Masikini wa akili (elimu ndogo)
3. Masikini wa taarifa zinazomhusu lowasa
WEWE UKO KUNDI GANI?