Jiandae kwa msiba na matanga maana CC wamepania kukata jina lake, baada ya hapo hatapata kiharusi kama ilivyokuwa kwa richmond bali stroke na kufa kabisa
usishangae ukafa wewe kabla yake
Jiandae kwa msiba na matanga maana CC wamepania kukata jina lake, baada ya hapo hatapata kiharusi kama ilivyokuwa kwa richmond bali stroke na kufa kabisa
Hiyo kitu nami nimeiona aisee.
Hata akiwa anahutubia, kwa mfano, nyuma kidogo kwa pembeni yake yupo mlinzi.
Utadhani tayari ni rais mteule vile.
Ila mbona jamaa anaonekana kama zombie flani hivi....au zile tetesi za yeye kuwa mgonjwa ni za kweli?
usishangae ukafa wewe kabla yake
Kuumwa ni kweli anaumwa, Wala sio tetesi, sio siri na sio ajabu.
Kwa lipi ? Kwa hii list ya rafiki zake chenge ,rostam tibaijuka karamagi, nazani iko shida kwenye akili.
[MENTION=1237@NyaniNgabu na wewe pia umo....Hata mimi polepole naanza kuona kama Lowassa ndiye....
jiandae wewe unayelamba miguu yake
Watu wanakula tu pesa za huyo mzee.. Kama unajidanganya kamteka mtu utakuwa unajidanganya mwenyewe.. Nina rafiki zangu ni CDM damu na kura watapigia Ukawa ila ndio viongozi wakuu wa ile inaitwa 4U Movement..
Lowassa ni mgonjwa pamoja na kwamba kuna baadhi ya watu wanakanusha!.Hiyo kitu nami nimeiona aisee.
Hata akiwa anahutubia, kwa mfano, nyuma kidogo kwa pembeni yake yupo mlinzi.
Utadhani tayari ni rais mteule vile.
Ila mbona jamaa anaonekana kama zombie flani hivi....au zile tetesi za yeye kuwa mgonjwa ni za kweli?
wewe unayetabiria mwenzio msiba ndie mauti inakuita ita.
ni kweli mimi namlamba miguu wewe unamlamba nani matako?
unaanza matusi, nyamaza kama huna hoja?......kwa kuwa umeniuliza....ninalamba mat.a.ko ya mama yako?
matusi umeanza wewe wala sikuwa na mpango wa kutusi. nashukuru kwa kulamba matako maana na huu uhaba wa maji ni msaada mkubwa sana unatoa. keep it up mchambishaji.
Anaumwa nini?
mchambishaji...!!!!??? mwulize nikimfuta nini kinaendelea.......BWana wako Lowassa is SICK wewe mjinga na kipofu ndiye hulioni hilo.