impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
Utoto unakusumbua unajua kazi ya Jeshi la polisi?Kwanini unatoa shutuma kwa Serikali kuwa ni watumishi wake wakati huna uthibitisho wowote kuwa ni watumishi wa Serikali
Anaye takiwa kutoa taarifa za watu kutekwa ni mwenye mamlaka ya kuwahoji kama Polis hawataki kuwahoji watekaji ni dhahiri wanajua kinachoendelea.