Mpaka iondolewe ndio wanatulia

Hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene

Imekua too much!!!
 
Machek bob Ndo wanaowavutia zaid warembo hasa ujanani, na ndo uwa wanajiamini had kuweza kuwatoa bikra, magud boy Weng ni kama washamba flani ivi so kwa kipindi cha ujana wasichana uwa hawawapend kabisa

Sema Mkulu p, Waambie.
 
Ni kwanini wanaume hawaoi wasichana waliowabikiri wanaoa waliobikiriwa na wenzao, labda tuambiane kuna siri gani hapo ukibikiri unaacha ukikuta aliebikiriwa ndio unaoa, kifupi kwa nini mnabikiriana?
 
Ni kwanini wanaume hawaoi wasichana waliowabikiri wanaoa waliobikiriwa na wenzao, labda tuambiane kuna siri gani hapo ukibikiri unaacha ukikuta aliebikiriwa ndio unaoa, kifupi kwa nini mnabikiriana?

Mhhh! hapa napo pazito pia. Haya sasa ndugu zangu Marijali wazee wa 90 Degrees, kama mimi hebu tulijibu hili swali. Maanake ni lakweli kabisa 100%.
 
Siku hizi hakuna bikra labda ya vitoto vichanga. Mazingira hatarishi yanyomzingira mtoto wa kike bikra haiwezi kaa. Wanahitaji msaada wa kuwavusha kwenye kizazi hichi cha zinaa na hila.
 
Yani wewe cjui nikupe zawadi gani, ubarikiwe sana.kwa mtazamo wako!
 

Kwaio good boys ni wala makombo?πŸ˜•
 
Hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene

Sema weee yani hapo ndio tunapochafuka
 
Hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene

mke mwenza umeongea vyema sana leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…