GE2025 Moza Ally: Nitakuwa mbunge wa kuwasemea wananchi kwa kujenga hoja badala ya kuwa mbunge wa kukubali kila kitu

GE2025 Moza Ally: Nitakuwa mbunge wa kuwasemea wananchi kwa kujenga hoja badala ya kuwa mbunge wa kukubali kila kitu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Mgombea Ubunge wa jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Moza Ally amesema akichaguliwa na wananchi wa jimbo hilo akaenda bungeni atakuwa mbunge mwenye kuwasemea wananchi wake kwa kujenga hoja badala ya kuwa mbunge wa kukubali kila kitu.

Moza ameyasema hayo leo Oktoba 20, 2025 alipokuwa akifanya kampeni za mtaa kwa mtaa katika kata ya Hananasif, jimboni hapo.

 
Back
Top Bottom