Moyo wangu

Heri angekumwaga kuliko kukumimina,pole sana dogo kwa kuteswa na mapenzi sisi kaka zako tunateswa na pesa.
 
nilipata ulcers kwenye mapenzi nikaona nikipenda tena ntapata ugonjwa wa moyo wacha nivunje mifupa meno yangali yapo...... Siwazi kupenda zaid ya kutamani

Haya kilala kheriii.
 
Tuliza jazba mkuu uandike vizuri manake huo mwandiko unaumiza macho
 
Dawa ya mapenzi ni kutendwa kwenye mapenzi huwezi kuwa na akili sawasawa hadi utendwe sasa kama umeshapitia huko na sasahvi hupendi kwa moyo wote basi tunasema umeshamaliza stage ya utoto umekuwa mtu mzima
 
Haswaaa muda ndo kilaa kitu hakuna kinachodumu milele
 
Dawa ya tatizo lako tafuta hela utashangaa watakavyokuganda.
 
unaijua njaa we..?
ukihisi njaa hiyo hamu ya kutokula hutoikumbuka.
 
Hivi kumbe ndio wewe alie kuacha, basi na mimi nampiga chini kama wewe alivyokufanya
 
Kakuacha na kosa hulijua?!!! Ulikua unampa hela (unamgharamikia)? Kama jibu hapana basi jua amepata wa kumpa hela.
 
Nimedumu nae kwa miezi 3 sasa alikua ni mpenzi wangu na mimi sikua na haraka ya kukutana naye kimwili kwa kuwa nampenda sana na nina malengo naye.
Hilo ndilo kosa lako mkuu!Ulishindwa nini kutafuna?Angeondoka anakumbukumbu ya kitu lakini sasa hatakukumbuka tena!
 
Hakkka ila kiukweli moyo wangu unaniuma sana tena sana tu kwani nimetokea kumkubali sana huyu binti. Ahsante pia
Sikia mkuu,huyo uliyemkubali hakufai na huenda amegongwa na muhuni mmoja akaona wewe huna maana.
Ni bora imekuwa mapema kuliko kuoa halafu agongwe na wahuni!Hapo ungetafuta sumu ya panya ama ungekuwa jela
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…