Khaleed Shaban
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 399
- 58
Habari zenu wana jf? Ni hivi kuna rafikiangu ana mpenzi wake na jana tu kaja kuniomba ushauri ambao nimekosa majibu ivyo naombeni mnishauri ili nipate la kumwambia ilikua hivi yeye alikua na mpenz wake wakati anasoma chuo but baadae mpenz wake akasafiri nje ya nchi kusoma zaid,baada ya kufika uko mawasiliano na mchizi yakapungua na atimae kuisha kabisa,mchizi akapata mtoto wa kinyatulu akamdatisha na hatimae kutangaza ndoa ambayo inatakiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu ila majuzi demu wake wa aliesafiri kwenda nje ya nchi kusoma amerudi na mchizi anadai bado anampenda na huyu wa sasa bado anampenda ukizingatia katangaza kumuoa akiniomba ushauri kisha akaniuliza kua kama ungekua ww moyo wako ungefanya nn unazani wakati mm bado nawaitaji wote? Nawasilisha mada kwenu wana jf