apprentice1997
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 107
- 99
- Thread starter
- #41
TE="to yeye, post: 17573638, member: 367662"]simama katika kweli ya Mungu utapata majibu.[/QUOTE]
Sawa
Sawa
Nimekuelewa mkuuHahahahahaa UKWATA, CASFETA, MAPENDO DAIMA ya shule huku mtaani ni magumu. Kuna maisha halisi huku, mshike Mungu kisawasawa Sio kishule shule. Utakuja kuona kuwa hakuna investment ya hovyo Kama ya kwenye ngono!!! Hailipi kabisa aiseee, Wazuri wapo wengi sana, kwa umri wako kuwa na Mpango Mkakati na binti Wa mwenzio ni uchochezi!