Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Ameen.....Na roho mtakatifu amjaze uvumilivu.
Ameen.....Na roho mtakatifu amjaze uvumilivu.
duuuuu,unaishi dunia gani?Dogo acha utani bint ni bikra afu were uliishajiingiza mapenzini? na nani? mbona umeanza mapenzi ukiwa ndogo? utasababisha ka dushe kako kawe kibsmia tulia usome ukimaliza chuo fanya mapenzi uwezavyo kwa sasa utaendelea kuumia na vile pesa hauna utaendelea kudanganya eti bado nina bikra
Sasa bro nakushauri kwamba huyo demu ni muongo na tena keshaliwa na kukunwa sana isipokuwa wewe umeingia kichwa kichwa na sasa anatingisha kiberiti,eti anataka aachane na nyie wote ili arudi kuwa binti wa kanisani,hii haingii akilini,mwambie hata wewe umepata mwingine na hutaki upate dhambi kwa sababu yeye ameamua kumrudia Mungu,hapo patakuwa patamuuuuuu hadi utakuja kunipa shukurani na utaamini mademu nuksi kwa kutikisa kiberiti,yaani uwe mkavu na umwambie kiume kuwa umempata mnaoendana kitabia na kimapenzi.Halafu kumbuka usicheze na elimu.Wakubwa zangu shikamoni,
Niliamua kutulia na msichana mmoja tu nikaamua nitulie nae huyo, kiukweli nampenda sana mpaka nimeamua kuwa mwaminifu kwake. Jana alinielekeza kuwa nimekuwa muwazi sana kwake na yeye ameamua kuniambia ukweli kuwa amekuwa na mahusiano na vijana wengine 3 jumla tupo wa 4. Lakini yeye bado ni bikra na hajawahi kulala na mtu yeyote.
Yeye ni mtu wa dini sana na amekuwa akihudhuria semina wiki hili na akaamua kunieleza ukweli wote na pia anasema anataka kuachana na sisi wote na atulie. Mimi nimetafakari sana Jana hiyo nikaenda kanisani muhubiri akasema ili ufanikiwe ni lazima ujitoe mahali unapodhani ni comfort zone yako nikaguswa nikajua kuwa natakiwa kuachana na mapenzi nae na nisiwe na mwanamke yoyote. Umri wangu ni miaka 19, nimefaulu na mwezi huu naanza kwenda college na yeye bado yupo shule.
Baada ya kutoka church akili yangu ilitulia na kuniambia kuwa ninataka kuwa na amani nae ninatakiwa niachane nae na nikaridhia baada ya mimi na yeye kuonana nikakumbuka mambo mengi sana tuliyopanga pamoja na ninampenda kwa kuwa anajiheshimu na ana hofu ya Mungu. Moyo unaniuma toka hapo ninafikiria mipango yangu na malengo niliyokuwa nae ninaumia sana natamani hata nisingejiingiza kwenye mapenzi.
Ninatamani nifuate sauti ya Mungu ila ninatambua maamuzi ya Mungu ni magumu na ndio haya yanayonikumba sasa. Leo ninataka nionane nae sitapenda aondoke tukiwa hatujaelewana hili jambo litatuathiri sana na hatutaweza kuendelea na masomo na kiukweli tunapendana sana.
Nikifikiria sina cha kumwambia ninatamani niseme neno moja tu na roho yangu ipone haya maumivu ninatamani kumlaumu ninaishia kumsamehe kwa kuwa nampenda sana na pia ninatamani kuachana nae ila hofu yangu ni kuwa nitaumia sana siku za mbeleni.
Na sina mpango wa kuwa mzinzi ninatamani Mungu anibariki anipe mwanamke ambaye atakuwa wangu mimi peke yangu na asinisumbue. Inafika muda najilaumu sana kwanini nilianza mapenzi maana naumia sana. Wapendwa naombeni ushauri wenu nimwambie nini ili tuweze kuelewana na moyo wangu utulie. Na pia nifanye maamuzi yapi kuhusu sauti inayonena ndani yangu.
You said it all....piga moyo konde na usonge mbele pia udumu katika maombi, michezo na ujichanganye na watu wengine. nothing is permanent not even our troubles, yatakwisha pia hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho Mkuu
Tumeongea tumeelewana nimemwambia simwachii hat a iwejeMashaka yangu pekee ni huu ya umri wenu ambao naona bado ni mdogo. Nahisi ni umri ambao hisia zina nguvu zaidi kuliko akili, kwa hiyo uthabiti wa kudumu katika mahusiano ni hafifu sana.
Ungekuwa walau 25 ningekushauri kuweka msisitizo mpaka umpate kwa kuwa umesema unampenda na anajheshimu. Nakuhakikishia kuwa hiyo binti anatumia mbinuya kusema anaachana nanyi wote ili kuona ni yupi kati yenu yupo serious na yeye. Kumbuka hats katika utungisho (fertilization) ni sperm moja tu kati ya mamilioni ndiyo inayofanikiwa kuingia kwenye yai. Hiyo ni ile iliyoweza kukimbia, kuvumilia na kupambana hadi mwisho.
Be that sperm. Never give up.Ni wale tu wansopambana na kuvumilia hadi mwisho ndio wanashinda.
Asanteww ni wa 1997 hongera
AsanteYou said it all....
Kingine zingatia masomo yako,build your dreams. Hujachelewa,start now..mapenzi hapo,tumeyakuta na tutayaacha.
Sawa mkuuMkuu unatambia kwa sheria za serikali na dini miaka 19 sio mtoto. Umenikumbusha wakati nina umri unaolingana na huu nilikuwa nikiwafuata walionizidi umri na kuwaeleza matatizo yanayohitaji ushauri walinipuuza ila iliniumiza sana wakati huo mpaka nilipokuwa na umri mkubwa zaidi nikatambua kwamba ni changamoto za maisha tuu. Ukifungwa mlango mmoja Mungu atakufungulia mlango mwingine, tena pengine bora zaidi.