habari zenu wanajamvi.
Mimi ni binti wa kike, ambaye moyo wangu u mpweke. kwamara ya kwanza najitokeza jamvini kumtafuta rafiki wa kiume mwenye nia ya dhati ya kuwa na mahusiano ambayo yatalenga kuja kuwa wachumba na hatimaye mume na mke. Kujitokeza kwangu hapa ni kwakua ninaimani na jamvi hili kwamba naweza kumpata GT wa ukweli.
wasifu wangu wa ndani na nje ni kama ifuatavyo.
wasifu wa ndani:-
mtaratibu sana, mwenye huruma, nina nidhamu, siyo mtu wa maneno mengi wala sipendi malumbano, mcha mungu, nina kiasi,ni mstahimilivu na mkarimu.
wasifu wa nje:-
mrefu cm 156, mwembamba kiasi, low cut, natural black, sipend kujipamba kwa mwonekano wavitu vya nje,nadhifu sana, ninajitegemea kimaisha na pia ni leftee.
sifa nyinginezo:-
umri-28 yrs
kazi- mwanajeshi cheo LT
elimu- BAGEN & PGDLP
Dini- mkristo
kabila- chagga(machame)
sifa za mwanaume:-
umri- 30-35 yrs
kazi- yeyote ila awe raia
elimu- degree itapewa kipaumbele
dini- mkristo
kabila-lolote lile.
sifa nyinginezo za mwanaume:-
awe raia ( asiwe mjeda hii ni msisitizo), awe mwenye moyo wa upendo wa hati na ambaye atakubali kunifundisha juu ya kufanya tendo la ndoa. Ila pia ajue hatutafanya tendo la ndoa hadi tufunge ndoa, na binafsi sijawah kufanya kabisa.
Nb- tuwasiliane kupitia pm na pia hatutatumiana picha katika hatua za awali, baada ya kuridhika katika pm ndipo njia nyingine kama email zitafuata na hata kupanga kuonana kwa macho.
Mimi ni binti wa kike, ambaye moyo wangu u mpweke. kwamara ya kwanza najitokeza jamvini kumtafuta rafiki wa kiume mwenye nia ya dhati ya kuwa na mahusiano ambayo yatalenga kuja kuwa wachumba na hatimaye mume na mke. Kujitokeza kwangu hapa ni kwakua ninaimani na jamvi hili kwamba naweza kumpata GT wa ukweli.
wasifu wangu wa ndani na nje ni kama ifuatavyo.
wasifu wa ndani:-
mtaratibu sana, mwenye huruma, nina nidhamu, siyo mtu wa maneno mengi wala sipendi malumbano, mcha mungu, nina kiasi,ni mstahimilivu na mkarimu.
wasifu wa nje:-
mrefu cm 156, mwembamba kiasi, low cut, natural black, sipend kujipamba kwa mwonekano wavitu vya nje,nadhifu sana, ninajitegemea kimaisha na pia ni leftee.
sifa nyinginezo:-
umri-28 yrs
kazi- mwanajeshi cheo LT
elimu- BAGEN & PGDLP
Dini- mkristo
kabila- chagga(machame)
sifa za mwanaume:-
umri- 30-35 yrs
kazi- yeyote ila awe raia
elimu- degree itapewa kipaumbele
dini- mkristo
kabila-lolote lile.
sifa nyinginezo za mwanaume:-
awe raia ( asiwe mjeda hii ni msisitizo), awe mwenye moyo wa upendo wa hati na ambaye atakubali kunifundisha juu ya kufanya tendo la ndoa. Ila pia ajue hatutafanya tendo la ndoa hadi tufunge ndoa, na binafsi sijawah kufanya kabisa.
Nb- tuwasiliane kupitia pm na pia hatutatumiana picha katika hatua za awali, baada ya kuridhika katika pm ndipo njia nyingine kama email zitafuata na hata kupanga kuonana kwa macho.