Moyo sukuma damu.. RIP Bro

Status
Not open for further replies.
Inawezekana huyu ndo Miss natafuta alikuwa anamsubir daah.. Damn you love.. U have fuckd this dude
 
Rest in power.
R. I. P


best revenge is to success.
Na sio kujiuwa
mwanaume wa kweli hutatua tatizo gumu & raisi lilioko mbele yake.
ila kufikia hatua ya kujiua ni udhalilishaji na kutojiongeza kama mwanaume.
 
Huyu kijana HOPELESS kabisa, anyway R.I.P
 
Jinga sana, liende huko linakostahili.
 
Aende akapigwe pumbu na shetani mjinga huyu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaaah mkuu
 
Mkuu hii
1. barua siyo kweli,
2. huyo demu anaitwa Marium
3. Hii barua siyo aliyoacha marehemu
Fatilita vizuri
Kikubwa ni fundisho kuhusu barua sio ya kweli sio dili hivi unaenda kujitoa uhai sababu ya demu hujui kama familia yako inakutengemea pamoja na taifa lako
 
Teh teh teh kafa kwel na kama kafa basi ajue huko alipo hakuna mungu anaepokea wajinga kama yeye
 
We nawe poyoyo nambari wane unamtawaza demu baada ya kukata kimba duuuuuuh......Ila najua huyo mwanamke atakua anakufikilia hadi atakapokufa boya wewe
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…