Jorge WIP JF-Expert Member Jul 12, 2018 3,567 5,289 Aug 6, 2021 #61 LUBEDE said: Hapa bado hamjui muvi kali,kwanza mna tv lakini? au mnaangalizia kwenye laptop? maana utamu wa muvi kali uwe na tv kuanzia inch 55 kwenda juu... Click to expand... Wengine ni watanzania wa kawaida sio kila mtu ana uwezo wa kuafford hiyo QLED tv, unakoendea utasema sasa kila movie kali ikaangaliwe century cinemax
LUBEDE said: Hapa bado hamjui muvi kali,kwanza mna tv lakini? au mnaangalizia kwenye laptop? maana utamu wa muvi kali uwe na tv kuanzia inch 55 kwenda juu... Click to expand... Wengine ni watanzania wa kawaida sio kila mtu ana uwezo wa kuafford hiyo QLED tv, unakoendea utasema sasa kila movie kali ikaangaliwe century cinemax
Living Pablo JF-Expert Member May 17, 2020 3,231 10,102 Aug 6, 2021 #62 Super Assassin said: Wengine ni watanzania wa kawaida sio kila mtu ana uwezo wa kuafford hiyo QLED tv, unakoendea utasema sasa kila movie kali ikaangaliwe century cinemax Click to expand... Me mwnyw nmemshangaa movie kali wanaangalia Kwny cinemax cc wengine uwezo wet computer
Super Assassin said: Wengine ni watanzania wa kawaida sio kila mtu ana uwezo wa kuafford hiyo QLED tv, unakoendea utasema sasa kila movie kali ikaangaliwe century cinemax Click to expand... Me mwnyw nmemshangaa movie kali wanaangalia Kwny cinemax cc wengine uwezo wet computer
jiwe angavu JF-Expert Member Aug 28, 2015 19,126 35,986 Aug 6, 2021 #63 Citizen B said: Aah sorry niliichanganya Na ile The silence...Ni maudhui yaleyale kama movie moja. Sema the silence Kali zaidi View attachment 1855821 View attachment 1855822 Click to expand... Ikoje hii nayo.. #MaendeleoHayanaChama
Citizen B said: Aah sorry niliichanganya Na ile The silence...Ni maudhui yaleyale kama movie moja. Sema the silence Kali zaidi View attachment 1855821 View attachment 1855822 Click to expand... Ikoje hii nayo.. #MaendeleoHayanaChama
Citizen B JF-Expert Member May 13, 2019 6,677 9,035 Aug 6, 2021 #64 jiwe angavu said: Ikoje hii nayo.. #MaendeleoHayanaChama Click to expand... Kama a quiet place tu
Wildlifer JF-Expert Member May 12, 2021 1,883 5,191 Aug 6, 2021 #65 Angel Nylon said: Nyengine huwa na story nzuri sana. Tena nyingi zao zina story nzuri haswa Click to expand... Nadhani, it's not my cup of tea. Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Angel Nylon said: Nyengine huwa na story nzuri sana. Tena nyingi zao zina story nzuri haswa Click to expand... Nadhani, it's not my cup of tea. Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Richmoto Kushmoto JF-Expert Member Jan 18, 2021 549 557 Aug 6, 2021 Thread starter #66 LUBEDE said: Hapa bado hamjui muvi kali,kwanza mna tv lakini? au mnaangalizia kwenye laptop? maana utamu wa muvi kali uwe na tv kuanzia inch 55 kwenda juu... Click to expand... nina tv bapa kubwa ila movie zote nachek kwa pc laptop tamu nyie
LUBEDE said: Hapa bado hamjui muvi kali,kwanza mna tv lakini? au mnaangalizia kwenye laptop? maana utamu wa muvi kali uwe na tv kuanzia inch 55 kwenda juu... Click to expand... nina tv bapa kubwa ila movie zote nachek kwa pc laptop tamu nyie
Richmoto Kushmoto JF-Expert Member Jan 18, 2021 549 557 Aug 6, 2021 Thread starter #67 nina bapa na movie zangu zote naangalia kwa laptop pc tamu sana
Citizen B JF-Expert Member May 13, 2019 6,677 9,035 Aug 6, 2021 #68 Richmoto Kushmoto said: nina bapa na movie zangu zote naangalia kwa laptop pc tamu sana Click to expand... Yes PC is the best...unaangalia Kwa Kila Pozi....unalala unaipindisha,unaiweka kifuani,mapajani,upside down Yani Ni wewe Tu Na viiafoni vyako
Richmoto Kushmoto said: nina bapa na movie zangu zote naangalia kwa laptop pc tamu sana Click to expand... Yes PC is the best...unaangalia Kwa Kila Pozi....unalala unaipindisha,unaiweka kifuani,mapajani,upside down Yani Ni wewe Tu Na viiafoni vyako
Richmoto Kushmoto JF-Expert Member Jan 18, 2021 549 557 Aug 6, 2021 Thread starter #69 Citizen B said: Yes PC is the best...unaangalia Kwa Kila Pozi....unalala unaipindisha,unaiweka kifuani,mapajani,upside down Yani Ni wewe Tu Na viiafoni vyako Click to expand... Awajui hawa Basi utamu ni utamu
Citizen B said: Yes PC is the best...unaangalia Kwa Kila Pozi....unalala unaipindisha,unaiweka kifuani,mapajani,upside down Yani Ni wewe Tu Na viiafoni vyako Click to expand... Awajui hawa Basi utamu ni utamu