Movement SAMIA waivaa BAWACHA

Movement SAMIA waivaa BAWACHA

Tanzania ya Watanzania

Senior Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
146
Reaction score
104
Kiongozi wa Vugu Vugu la DKT SAMIA almaarufu kama MOVEMENT SAMIA CDE Mwigulu Shigela amekemea vikali wa Mama wa CHADEMA almaarufu kama BAWACHA kwa kitendo chao cha kuteketeza kanga zilizokuwa na nembo ya picha ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Msikilize mpaka mwisho
 
View attachment 3112767
Kiongozi wa Vugu-Vugu la DKT SAMIA almaarufu kama MOVEMENT SAMIA Cde Mwigulu Shigela amewakemea vikali wa Mama wa CHADEMA almaarufu kama BAWACHA kwa kitendo Chao Cha kuteketeza kanga zilizokuwa na nembo ya Picha ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Msikilize mpaka mwisho
BAWACHA wengi ni madem za Mbowe kama unabisha nitajie mmoja nikutoe wasiwasi
 
Kiongozi wa Vugu Vugu la DKT SAMIA almaarufu kama MOVEMENT SAMIA CDE Mwigulu Shigela amekemea vikali wa Mama wa CHADEMA almaarufu kama BAWACHA kwa kitendo chao cha kuteketeza kanga zilizokuwa na nembo ya picha ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Msikilize mpaka mwisho
Mimi nampenda Samia.
Ila wewe SIO mzalendo.
 
Kiongozi wa Vugu Vugu la DKT SAMIA almaarufu kama MOVEMENT SAMIA CDE Mwigulu Shigela amekemea vikali wa Mama wa CHADEMA almaarufu kama BAWACHA kwa kitendo chao cha kuteketeza kanga zilizokuwa na nembo ya picha ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Msikilize mpaka mwisho
Huyu Shigela apewe UVCCM mkoa wa Singida kwa faida ya mkoa na Taifa
 
Kiongozi wa Vugu Vugu la DKT SAMIA almaarufu kama MOVEMENT SAMIA CDE Mwigulu Shigela amekemea vikali wa Mama wa CHADEMA almaarufu kama BAWACHA kwa kitendo chao cha kuteketeza kanga zilizokuwa na nembo ya picha ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Msikilize mpaka mwisho
Vikundi vya kipumbavu kama hiki ndiyo vinahusika na kuteka na kuumiza viongozi wa Chadema hawa nim magaidi kabisa
 
Nchi hii ilipata kuongozwa na Mwanaume Magufuli..
Mama kawa mpole mpaka kazidi yaani zawadi ya raisi inachomwa hadhara na unawaacha watu Kama hao wasio na heshma na adabu kweli?
Mbona enzi za Magu hawakuwa wanafungua mdomo hivi?
Rais Ni kweli Hawa watu wachache wanaotaka kuharibu heshma ako unawaacha namna hii!
Hao walitakiwa wale kipigo Cha maana.
 
Back
Top Bottom