Tanzania ya Watanzania
Senior Member
- Apr 28, 2024
- 146
- 104
Kiongozi wa Vugu Vugu la DKT SAMIA almaarufu kama MOVEMENT SAMIA CDE Mwigulu Shigela amekemea vikali wa Mama wa CHADEMA almaarufu kama BAWACHA kwa kitendo chao cha kuteketeza kanga zilizokuwa na nembo ya picha ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Msikilize mpaka mwisho
Msikilize mpaka mwisho