KimaroKimario
Member
- Apr 19, 2013
- 11
- 1
WanaJF kuna issue moja inanikwanza sana ya hawa viongozi wetu (kutoka vyama vyote na serikali) kutaka kupata umaarufu kwenye hii issue ya udini.
Mitaani tumekuwa tukiishi vizuri kama dugu moja bila mipasuko hii ya kidini sema kwa sasa naona shida inaletwa na hawa viongozi ombao kila wakifungua madomo yao ni kufuel issue ya udini kama janga la taifa. Halijawai kuwa janga na litakuwa janga nyie wapumbafu wachache mkiendelea na kelele zenu kila kukicha kwa kuleta worry na fear ndani ya mioyo yetu.
Mwisho wa siku hii mipasuko ikimaterialise ni sisi wananchi wa chini ndiyo tutaumia. Kwa hali hiyo ni wakati umefika tuwe na msimamo kuhusu hizi story za udini. Ushauri wangu ni sisi wananchi tuziboycott (tusizientertain) hizi story za udini bila kujali imesemwa na nani.
Watu wa media tunawaomba nyie pia kuingia kwenye vita hii na kutowapa watu media coverage wenye kuonekana wazi wazi wanatoa matamko ya kucreate fear au maudhui ya kufuel hii theory ya mpasuko wa kidini nchini.
Nchi haina mpasuko na yeyote anayesema hivyo anania mbaya ya kuona huo mpasuko wa kidini kwenye taifa letu.
Nawakilisha
Mitaani tumekuwa tukiishi vizuri kama dugu moja bila mipasuko hii ya kidini sema kwa sasa naona shida inaletwa na hawa viongozi ombao kila wakifungua madomo yao ni kufuel issue ya udini kama janga la taifa. Halijawai kuwa janga na litakuwa janga nyie wapumbafu wachache mkiendelea na kelele zenu kila kukicha kwa kuleta worry na fear ndani ya mioyo yetu.
Mwisho wa siku hii mipasuko ikimaterialise ni sisi wananchi wa chini ndiyo tutaumia. Kwa hali hiyo ni wakati umefika tuwe na msimamo kuhusu hizi story za udini. Ushauri wangu ni sisi wananchi tuziboycott (tusizientertain) hizi story za udini bila kujali imesemwa na nani.
Watu wa media tunawaomba nyie pia kuingia kwenye vita hii na kutowapa watu media coverage wenye kuonekana wazi wazi wanatoa matamko ya kucreate fear au maudhui ya kufuel hii theory ya mpasuko wa kidini nchini.
Nchi haina mpasuko na yeyote anayesema hivyo anania mbaya ya kuona huo mpasuko wa kidini kwenye taifa letu.
Nawakilisha