The special one!:biggrin::biggrin::biggrin:
Najua Real Madrid bado wana nafasi kubwa ya kuingia fainali kuliko Barca lakini haya matokeo yatakuwa yamekata ngebe za Mourinho. Ile safari ya kukimbia Santiago Bernabeau imesharahasishwa kwa kipigo hiki. Sitokushangaa kibarua cha Mourinho kuota mbawa wiki ijayo.
The special one!:biggrin::biggrin::biggrin:
Najua Real Madrid bado wana nafasi kubwa ya kuingia fainali kuliko Barca lakini haya matokeo yatakuwa yamekata ngebe za Mourinho. Ile safari ya kukimbia Santiago Bernabeau imesharahasishwa kwa kipigo hiki. Sitokushangaa kibarua cha Mourinho kuota mbawa wiki ijayo.
Mourinho amemzalilisha sana Iker Casilas...
Kwenye ndege ya makipa kuna ndege moja anapanda Buffon na Casilas tu.
Ikumbukwe Casilas alisitisha masomo yake kisha akaja kuwapa Los Blancos Merenguez ubingwa wa Ulaya...
Hizi dhambi nyingine hukumu yake ni wiki moja baada ya kuzitenda.
Mmelishwa maneno ligi ya Spain ni bora kwa vile ina timu mbili maarafu, mmesahau Bundesliga
Leo kabla ya mechi alikuwa anahojiwa na aljazeera sport alikuwa anajigamba sana alisema BVB wana 25% na Madrid 75% yakushinda game,imekuwa kinyume
Casillas kawa ------rema siku hizi, anataka kuwa above the coach kama ilivyokua kwa Raul, hata kama angemuacha baba ake afe ili kuitumikia club bado anatakiwa kuwa na adabu.
Na kama Mourinho ataondoka kama inavyodhaniwa, kocha anayekuja hapo inabidi awe mbabe ikiwezekana amuuze huyu mshenzi, kwanza kiwango chake kimeshuka sana, huwezi kumfananisha na Gigi, anabebwa sana na mafanikio ya Spain ambayo kwa kiasi kikubwa sio ya Spain bali ya wacatalunya ambayo hata angedaka Ivo Mapunda angeonekana jembe tu
Puta Iker!
Mkuu badilisha kauli hapo kwenye red..! Wote wamekalia kigogo kwa nyuma..! Sisi hali hii huwa tunaiita dhooful khali..!The special one!:biggrin::biggrin::biggrin:
Najua Real Madrid bado wana nafasi kubwa ya kuingia fainali kuliko Barca lakini haya matokeo yatakuwa yamekata ngebe za Mourinho. Ile safari ya kukimbia Santiago Bernabeau imesharahasishwa kwa kipigo hiki. Sitokushangaa kibarua cha Mourinho kuota mbawa wiki ijayo.
Mourinho sikupenda kukopi post yako lakini ulichokiandika sina cha kuedit, yule dogo ----- sana sijui Gang Chomba anamtetea hili iweje labda anataka ampeleke Abajalo akacheze ndondo.
Casillas kawa MSENGErema siku hizi, anataka kuwa above the coach kama ilivyokua kwa Raul, hata kama angemuacha baba ake afe ili kuitumikia club bado anatakiwa kuwa na adabu.
Na kama Mourinho ataondoka kama inavyodhaniwa, kocha anayekuja hapo inabidi awe mbabe ikiwezekana amuuze huyu mshenzi, kwanza kiwango chake kimeshuka sana, huwezi kumfananisha na Gigi, anabebwa sana na mafanikio ya Spain ambayo kwa kiasi kikubwa sio ya Spain bali ya wacatalunya ambayo hata angedaka Ivo Mapunda angeonekana jembe tu
Puta Iker!
Naona umeserukamba hapo mwisho.
Mourinho amemzalilisha sana Iker Casilas...
Kwenye ndege ya makipa kuna ndege moja anapanda Buffon na Casilas tu.
Ikumbukwe Casilas alisitisha masomo yake kisha akaja kuwapa Los Blancos Merenguez ubingwa wa Ulaya...
Hizi dhambi nyingine hukumu yake ni wiki moja baada ya kuzitenda.
Mkuu badilisha kauli hapo kwenye red..! Wote wamekalia kigogo kwa nyuma..! Sisi hali hii huwa tunaiita dhooful khali..!