The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,875
Jana nilimsikia Mourinho akisema kipindi yupo Real Madrid ndo kipindi very very special kwake
nilishangaa sana...nikawa najiuliza mbona huyu jamaa muongo muongo?
Mbona siku zote husema alipofundisha Inter Milan ndo
ilikuwa very special?
Inter ndo alishinda nao mara ya mwisho Champions League
bajeti ya inter ilikuwa ndogo sana kulinganisha na Chelsea au Ma
drid
Inter ndo timu ya mwisho kushinda Champions league kutoka Italy...
Leo nimeelewa why Morinho now anajipendekeza Madrid
kashaona kuna dalili za Zidane kutimuliwa
anachofanya ni kubembeleza tu ajira
nilishangaa sana...nikawa najiuliza mbona huyu jamaa muongo muongo?
Mbona siku zote husema alipofundisha Inter Milan ndo
ilikuwa very special?
Inter ndo alishinda nao mara ya mwisho Champions League
bajeti ya inter ilikuwa ndogo sana kulinganisha na Chelsea au Ma
drid
Inter ndo timu ya mwisho kushinda Champions league kutoka Italy...
Leo nimeelewa why Morinho now anajipendekeza Madrid
kashaona kuna dalili za Zidane kutimuliwa
anachofanya ni kubembeleza tu ajira