wewe ni mmoja wao wasiojitambua. Ni sheeeddaaa!!! Kuwepo watu kama wewe
Mkuu, mbona hata kwenye bunge la katiba mmepigwa za uso licha ya tambo zenu kuwa akidi haitapatikana?Kujua kama ni za uso au kapiga ukuta, subiria wakati utoe matokeo. Usiwe mganga wa kienyeji.
Duh! Mkuu, kwani kati yako na Chabruma nani mpumbavu?Mtoa mda kajitahidi kutetea hoja zake ila kimsingi hoja zake ni za kipumbavu
subiri tu matokeo yake
Mpwa wangu Chabruma, kwa hali ilivyo hata kichaa hawezi kuuliza CCM inakufaje, only that anayekufa hawezi kukubali kuwa anakufa. Niko tight kwa sasa but natamani ningetafuta thread mbali mbali za failed state, niikipata nitakuwekea hapa au jkuna thread niliwahi kuandika pia kuhusu stage za mtu anayekaribia kifo na uhusiano wake na CCM
Stupidity is when you talk a lot but say nothing.
Maelezo yako yamekaa zaidi kiutabiri (kama ule wa nyota wa Yahaya) kuliko uchambuzi. Tusubiri tuone utimilifu wa uganga wako. Yawezekana unatamani iwe hivyo hata kama haitakuwa hivyo.
Ungekuwa japo una uwezo wa kufanya utafiti angalao hata kwa kiwango cha 10% ungeleta hapa angalao matokeo ya uchaguzi wa 2010 katika majimbo ambayo yalichukuliwa na CCM. Ungejumlisha kura walizozipata CUF, CHADEMA, NCCR na NLD halafu ungelinganisha na zile walizozipata CCM. Hapo ungeweza kusema kuwa kwa kumbukumbu hizo, hata hawa wakiweka kura zao pamoja hazitafikia zile za wafia CCM. Japo nayo haiwezi kuwa msingi wa hoja kwa 100% maana watu hubadilika kutokana na wakati lakini angalao ungeonekana una basis, siyo hii takataka uliyoiweka hapa.
Kuna maeneo ni dhahiri kuwa CHADEMA na CUF, kila kimoja bila ya ushirikiano kitashinda. Hayo ndiyo maeneo uliyoyataja. Lakini kuna maeneo ambayo CHADEMA au CUF pekee yake ni vigumu kuishinda CCM lakini wanaweza kushinda kiurahisi sana CCM kwa kushirikiana.
Unapoonekana wa ajabu ni pale bila aibu unaposema viongozi ndiyo wameamua wakati kila chama kimefanya mikutano na kamati kuu zao kabla ya kufikia hayo makubaliano. Kuna ushabiki unaofanyika huku ukilinda haki ya kufikiri lakini pia kuna huu ushabiki unaoleta upofu wa akili na macho.
Nijiondokee miyeWell said mkuu Chabruma. Sijawahi kutilia shaka bandiko lako
yametimia aliyotabiriStupidity is when you talk a lot but say nothing.
Maelezo yako yamekaa zaidi kiutabiri (kama ule wa nyota wa Yahaya) kuliko uchambuzi. Tusubiri tuone utimilifu wa uganga wako. Yawezekana unatamani iwe hivyo hata kama haitakuwa hivyo.
Ungekuwa japo una uwezo wa kufanya utafiti angalao hata kwa kiwango cha 10% ungeleta hapa angalao matokeo ya uchaguzi wa 2010 katika majimbo ambayo yalichukuliwa na CCM. Ungejumlisha kura walizozipata CUF, CHADEMA, NCCR na NLD halafu ungelinganisha na zile walizozipata CCM. Hapo ungeweza kusema kuwa kwa kumbukumbu hizo, hata hawa wakiweka kura zao pamoja hazitafikia zile za wafia CCM. Japo nayo haiwezi kuwa msingi wa hoja kwa 100% maana watu hubadilika kutokana na wakati lakini angalao ungeonekana una basis, siyo hii takataka uliyoiweka hapa.
Kuna maeneo ni dhahiri kuwa CHADEMA na CUF, kila kimoja bila ya ushirikiano kitashinda. Hayo ndiyo maeneo uliyoyataja. Lakini kuna maeneo ambayo CHADEMA au CUF pekee yake ni vigumu kuishinda CCM lakini wanaweza kushinda kiurahisi sana CCM kwa kushirikiana.
Unapoonekana wa ajabu ni pale bila aibu unaposema viongozi ndiyo wameamua wakati kila chama kimefanya mikutano na kamati kuu zao kabla ya kufikia hayo makubaliano. Kuna ushabiki unaofanyika huku ukilinda haki ya kufikiri lakini pia kuna huu ushabiki unaoleta upofu wa akili na macho.
?? nani anaongoza serikaliMmeshaanza kuweweseka na UKAWA. UKAWA mnadai ni mfu sasa iweje tena muanze mashambulizi dhidi ya mfu anayeandaliwa mazishi!? Kila lenye mwanzo halikosi mwisho na mwisho wa Serikali hii dhalimu inayong'ang'ania madaraka kwa mabavu umewadia. Ole wenu mafisadi wote ndani ya hii Serikali dhalimu.