Mott Mcdonalds wapo vipi hawa jamaa?

Mott Mcdonalds wapo vipi hawa jamaa?

hapyepye

Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
34
Reaction score
11
Wadau..nimeitwa kwenye interview na hawa jamaa wa Mott Mc Donald....kama operation support assistant. Kwa mwenye info kuhusu hawa jamaa...anifahamishe na ofisi zao kwa hapa dar zipo wapi. Natanguliza shukrani.
 
Hongera Bwana!, Ingekuwa ni Dodoma ningekwambia nenda pale mackay house ndipo walipo. MM niliapply wamenitumia email kuwa sijaqualify so wameita wengne kwenye interview. Jitahidi ukaonyeshe uwezo mkuu
 
Jamaa wanahusika na nini hasa?
 
they are just consultants in general, responsible for projects/Programmes of which you may be assigned at on a specific project, but you might not be a permanent employee of Mott McDonald
 
Back
Top Bottom