[QUOTE
Watanzania tuwaombee sana tena sana Dr Hosea wa PCCB (japo kafungwa mikono kufanya kazi zake kwa uhuru zaidi, ni mpambanaji wa uhakika), tumuombee Samuel Sitta na wapiganaji wetu wengine wengi mle ndani ya Sisiem ambao hatuna haja ya kuwataja majina. Na tangu sasa muangalie sana mienendo ya akina Mgeja hawa dhidi yao.
[/SIZE][/QUOTE]
Naunga mkono kwa mia, hamna kamati ama kikao cha CCM kinachoongozwa na asiye fisadi. NEC ndio kabisa, maana huko ndio kwenye mafisadi papa. Huyo mbunge ajipendekeza tu na hiyo hoja feki ili aongezewe mgawo wa keki ya UFISADI.
Lakini kuhusu Hosea na Sitta, ntatofautiana nawe. Hosea alisema ili kuwazuga wazungu tu, kimsingi kashindwa kazi na pia ni fisadi sawa tu na Sitta. Hamna cha kuwaombea. Inasikitisha kua mpaka leo Hosea analipwa mshahara tokana na pesa yetu. Kama kweli alichoema ni cha kweli si angejiuzulu kuliko kuendelea kuachia back yake inaendele kubusiwa na Kikwete na kundi lake la mafisadi - anajidhalilisha yeye na elimu yake.
Hivi Hosea na elemu yake aliyonayo ina maana hawezi kazi nyingine yeyote zaidi ya hiyo aliyopewa na MAFISADI ambayo anailalamikia kua makucha yake yamekatwa na Mafisadi.
Watanzania tuwaombee sana tena sana Dr Hosea wa PCCB (japo kafungwa mikono kufanya kazi zake kwa uhuru zaidi, ni mpambanaji wa uhakika), tumuombee Samuel Sitta na wapiganaji wetu wengine wengi mle ndani ya Sisiem ambao hatuna haja ya kuwataja majina. Na tangu sasa muangalie sana mienendo ya akina Mgeja hawa dhidi yao.
[/SIZE][/QUOTE]
Naunga mkono kwa mia, hamna kamati ama kikao cha CCM kinachoongozwa na asiye fisadi. NEC ndio kabisa, maana huko ndio kwenye mafisadi papa. Huyo mbunge ajipendekeza tu na hiyo hoja feki ili aongezewe mgawo wa keki ya UFISADI.
Lakini kuhusu Hosea na Sitta, ntatofautiana nawe. Hosea alisema ili kuwazuga wazungu tu, kimsingi kashindwa kazi na pia ni fisadi sawa tu na Sitta. Hamna cha kuwaombea. Inasikitisha kua mpaka leo Hosea analipwa mshahara tokana na pesa yetu. Kama kweli alichoema ni cha kweli si angejiuzulu kuliko kuendelea kuachia back yake inaendele kubusiwa na Kikwete na kundi lake la mafisadi - anajidhalilisha yeye na elimu yake.
Hivi Hosea na elemu yake aliyonayo ina maana hawezi kazi nyingine yeyote zaidi ya hiyo aliyopewa na MAFISADI ambayo anailalamikia kua makucha yake yamekatwa na Mafisadi.