Moto wa katiba mpya.

Kulolwa

Member
Feb 12, 2011
6
0
Wana JF nawaomba tukumbushane ni kama sasa tunaelekea kutaka kupoteza na kuzima moto wa kushughulikia Katiba mpya.Kama kawaida yetu watanzania tunajidai tunajadiliana kwa muda mfupi halafu eti tunasahau mwasemaje juu ya hilo?
 
Wana JF nawaomba tukumbushane ni kama sasa tunaelekea kutaka kupoteza na kuzima moto wa kushughulikia Katiba mpya.Kama kawaida yetu watanzania tunajidai tunajadiliana kwa muda mfupi halafu eti tunasahau mwasemaje juu ya hilo?

Karibu TZ ndugu.
 
Kweli mkuu...Hata mimi nahisi kama tumeanza kuacha kuukoleza ule moto wa kudai katiba mpya!
 
inawezekana do once na sasa mabomu ya goms yamechangia kupunguza kasi.
Naamini kuwa ni kwa muda tu tunashukuru kukumbusha.

Nina hoja moja hapa ,kwa mfumo wetu wa muungano Tanzania,inapotokea Raisi ni kutoka visiwani na mambo yaliyo kwenye Muungano ni machache je ni halali kwa raisi huyo kutolea maamuzi mambo yasiyo ya muungano ?Hii ni pamoja na wizara, mfano ni mambo ya ndani ya nchi mara kadhaa inashikiliwa na wazenji kwa sasa shamsi Nahodha anaposhughukia zimamoto au magereza mambo yasiyo ya muungano inakuwaje ?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…