Chabruma una matatizo ya akili. Chadema waigiza? Swala katiba kaleta nani nchini nakuwatoa watz matongotongo kuwa ni mbovu kama co chadema? Chadema wanaongoza nchi indirectly. Hiki ni chama kikubwa babu lao. Vijana tunakisupot kwa nguvu zetu zote kwa garama yeyote ile.