Mpiga PUNYETO ni sawa na mfungwa aliyepigwa pingu.
Si Rahisi kujiokoa mwenyewe!!
Kifungo hicho ni katika Roho, umeoa jini mahaba na limekutolea Mahari katika Ulimwengu wa Roho, pia limekuvisha Pete ya NDOA na hati ya NDOA imesainiwa. Unachokifanya, unajaribu kuachika😀 Kutoka kwenye NDOA na Pepo hao.
Kuvunja ndoa hiyo, shirikisha mtumishi wa Mungu au waombaji Ili kuvunja NDOA hiyo.
Usichukulie mzaha.
UBARIKIWE.