kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Tayari dalili mbaya zimejitokeza kwa chama ambacho kinapoteza sifa na upendo kwa wananchi kwa kasi kila kukicha. Kamati kuu ya CDM inatarajiwa kukutana Jumapili wiki hii kwa dharura ili kuwafukuza madiwani wawili wa Mwanza pamoja na mbunge wao kwa usaliti na kusababisha kupigwa chini katika uchaguzi wa umeya.
Wakiwafukuza tu ndiyo mwisho wao huku Mwanza.
Wakiwafukuza tu ndiyo mwisho wao huku Mwanza.