likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,091
KWAN MBUNGE ANAKUSANYA KODI? MBANE RC AU DC
fisadi chami hana nafasiView attachment 716761
Hatimaye Chami akumbukwa Jimbo liko Taabani hakuna wa kusema Matatizo ya Wananchi zaidi ya wananchi wenyewe
Uko wapi Mh Mbunge Kamanda Komu??
Mkuu upo hapo unajisifia sana kupaponda Bk nitazidi kukuumbua hapa ni moshi vijijinin jambo LA dharura maana n mvua za gafla kubwa sana,uchagani hatujui shida hizo litataliwa haraka
Bora umwambieAcha kudanganya watu, njoo huku shia gari haitembei full utelezi, nenda kirua, njoo sembeti ...... Hizo blah blah blah kadanganye wengine.
Wadanganye bibi zako huko una. Sifa nyingi broKilimanjaro hatuna shida ya barabara,hiyo imetokea kwasababu ya mvua nyingi za gafla,KLM maendeleo yapo hata kabla ya uhuru
Kilimanjaro n miongon mwa mikoa iyojitosheleza kihuduma za jamiiWadanganye bibi zako huko una. Sifa nyingi bro
Sio wote mkuu wengine lami hadi mlangoniAkina Mangi wanaisoma namba teh teh teh!
usijifariji kitakwimu Kilimanjaro n mkoa wa pili kwa maisha bora na makaz boraMikoa yote ni shida tuuu apa Tanzania, ingawa wachaga wanapasifia Kilimanjaro ingawa wanaenda kipindi cha sikukuu tuu, maendeleo ya mikoa yote inalingana na ndio Maana uwezi kumkuta MTU mwenye kutaka kutoka kimaisha yupo uko kijijini
Kilimanjaro n mkoa wa pili kwa maisha boraSio wote mkuu wengine lami hadi mlangoni
Aseeeee ukisimuliwa na mchagga habari za kwao unaweza hisi ni newyork, kumbe ni vumbi tu hakuna jipya.usijifariji kitakwimu Kilimanjaro n mkoa wa pili kwa maisha bora na makaz bora
mkoa wako kAgera n wa tatu kwa umaskini
aliekwambia wachga wanaend December tu nNi?
nenda Kilimanjaro uone 99% ya investors wote n wenyeji unadhN watu wote wametelekeza mikoa yao kama nyie wa kagera?
una matAtizo,Kilimanjaro ni mkoa wa pili tz kwa mAisha na mAkazi boraAseeeee ukisimuliwa na mchagga habari za kwao unaweza hisi ni newyork, kumbe ni vumbi tu hakuna jipya.
Miafrika bana, kwahiyo kwako wewe mafanikio makubwa ni mbuzi kulala bandani? Muda huo huo kuna wanaume wanapambana kutafuta maisha sayari ya mars, wewe unaongea habari za mbuzi? Jinga kabisauna matAtizo,Kilimanjaro ni mkoa wa pili tz kwa mAisha na mAkazi bora
nyumba ya mbuz Kilimanjaro ni nzuri kuliko yako ya kulalA
Hiyo habari ya mbuzi ndio mafanikio ya wote maana ndio hua mfano, kijana Tanzania yote mikoa ipo hoi kama una rafiki wa kigeni huko duniani unaona aibu kumtembeza akija kukutembelea. Grow up tunaishi kama hao mbuzi unao ongeleauna matAtizo,Kilimanjaro ni mkoa wa pili tz kwa mAisha na mAkazi bora
nyumba ya mbuz Kilimanjaro ni nzuri kuliko yako ya kulalA
kama kwenu mnalalia nyasi msidhani wote wAnalalia nyasiHiyo habari ya mbuzi ndio mafanikio ya wote maana ndio hua mfano, kijana Tanzania yote mikoa ipo hoi kama una rafiki wa kigeni huko duniani unaona aibu kumtembeza akija kukutembelea. Grow up tunaishi kama hao mbuzi unao ongelea
wewe ni chizi,ikiwA mbuzi tu zinalala kwenye tailes sasa. binadamu wa huko atakuwa anaishije,,,acheni kucheza baikoko mtaendeleaMiafrika bana, kwahiyo kwako wewe mafanikio makubwa ni mbuzi kulala bandani? Muda huo huo kuna wanaume wanapambana kutafuta maisha sayari ya mars, wewe unaongea habari za mbuzi? Jinga kabisa
Sawa kaka, endelea kufuga mbuzi. Hapa ndio hua namuona trump sio mnafiki.kama kwenu mnalalia nyasi msidhani wote wAnalalia nyasi
Bado hatuelewani kabisa, hivi kijana umewahi kwenda huko duniani? Unapata wapi ujasiri huo wa kunisimulia kwamba mafanikio yako makubwa ni ufugaji wa mbuzi kwenye vigae?wewe ni chizi,ikiwA mbuzi tu zinalala kwenye tailes sasa. binadamu wa huko atakuwa anaishije,,,acheni kucheza baikoko mtaendelea
moshi udongo haufai kufyatulia tofali,nilishakwambia hapo ni bukobA ona unavyoaibikaMkuu upo hapo unajisifia sana kupaponda Bk nitazidi kukuumbua hapa ni moshi vijijiniView attachment 786695