Moshi Technical School thread

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
Habari wanaJF

Nimeamua kuanzisha uzi huu kwa ajili ya kuwakutanisha wadau wa elimu na wale wote ambao walipita shule ya sekondari ya ufundi tangu kuanzishwa kwake mnamo 1957 .

Lengo ni kujuana,kukumbushana yale yaliokuwa yakijiri shuleni kwa wakati huo ,na pia kutaka kujua yapi yanaendelea ndani ya shule hiyo.

Pia kufahamu na watu mashughuli wenye mchango mkubwa kwa Taifa letu ambao walisoma hapo na kutambua uwepo wa Elimu katika shule ya Ufundi Moshi



Binafsi nimesoma hapo kidato cha 5 na 6,combination ikiwa ni PCM.

NB: Sio lazima uwe umepita shule hyo ndo uchangie,hata kwa wale wanaoifahamu pia mnakaribishwa!

 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1368432552203.jpg
    6.2 KB · Views: 1,339
  • uploadfromtaptalk1368432592810.jpg
    9.3 KB · Views: 1,335
hellow
nlkuwepo pale o-level..
 
Shule hii kwa kweli imetoa mchango mkubwa sana kwa upande wa ufundi na kipindi cha nyuma ilikuwa bora kwelikweli. Most of our Engineers wamepitia hapo.
Nawakumbuka waalimu waliokuwa mashuhuri ennzi hizo: Mpande - vijana, Malisa - Additional Maths, Mwasha - Litreture, Nyanza - Electrical, Orbelin - Biology, Dunia - Geography, Pyuza - History.
 

Huyo mpand alikuwa mwalimu wa vijana,aliniletea noma sana
 
Mimi nilikuwa nakaa Karume Dorm 33,je Mzee Ugedede bado yupo?Najua Mwalimu Daffa amefariki!Kitambo sana!Nilisoma O-level!!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mpande alisha staafu japo aliombga kuongezewa mda wakamchömolea
 

Kaka pale ufundi umekufa cku hzi,co kama zamani kwan hali ni mbya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…