Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,786
- 7,567
Wakuu,
Inasemekana hapo ni Moshi majira ya saa 19:35 maeneo ya Mbuyuni sokoni ambapo watekaji walikuja na Noah nyeusi wakamkamata kijana mmoja wakataka kuondoka naye ila wananchi waliwagomea!
Wakatoa pingu huku wamevaa kiraia hapo ndio raia raia wakazua balaa kabisa.
Maswali ni yale yale; je, hali hii itaendelea mpaka lini? Je, polisi wanahusika ama kuna watu wanafanya matukio na kuwasingizia?
Lakini tunakumbuka tukio la TRA? Polisi walituambia wanakibari cha kukamata, je kwanini hawaendi na escort ya polisi? Yakitokea kama ya Tegeta mtamlaumu nani wakati watu wanavamia kama vibaka?
Tukio la Tarimo watu wanajulikana, lakini kesi inaendeshwa kimya kimya na kufichwa kama bangi. Tunaachaje kuwahusisha na matukio haya?
Inasemekana hapo ni Moshi majira ya saa 19:35 maeneo ya Mbuyuni sokoni ambapo watekaji walikuja na Noah nyeusi wakamkamata kijana mmoja wakataka kuondoka naye ila wananchi waliwagomea!
Wakatoa pingu huku wamevaa kiraia hapo ndio raia raia wakazua balaa kabisa.
Maswali ni yale yale; je, hali hii itaendelea mpaka lini? Je, polisi wanahusika ama kuna watu wanafanya matukio na kuwasingizia?
Lakini tunakumbuka tukio la TRA? Polisi walituambia wanakibari cha kukamata, je kwanini hawaendi na escort ya polisi? Yakitokea kama ya Tegeta mtamlaumu nani wakati watu wanavamia kama vibaka?
Tukio la Tarimo watu wanajulikana, lakini kesi inaendeshwa kimya kimya na kufichwa kama bangi. Tunaachaje kuwahusisha na matukio haya?