chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,553
- 2,073
Pole yake
Hukumu haiendani na makosa, siasa tu!
Mirungi tu jela maisha..!!??
Dar watu walikutwa na cocain wakalipa fine 10M and walk free!!
Dah Sarah DeoDuu huyo mjane bora angeuza mchicha tu, ujue hawa wajane huwa wanavunja sheria kwa kusingizia ujane wake, acha iwe funzo kwa wenzake.
Kukutwa na cocaine then wakalipa 10.M?Nikumbushe ni kesi gani hiyo mkuu?
Pole mkuu .Nakumbuka nilishawahi kupigwa laki kwa kesi ya kukutwa na picha tu za hio mirungi, nilikuwa na wana wanachanja wakapiga picha tukiwa geto flani.
The next day nikakumbana na wazee wa ngwasuma wakanityt wakaanza kupekua simu yangu na kukuta zile picha nikiwemo. Walikomaa niseme ile mirax nani ame supply nikawakataa maana ilikuwa msala af kipindi hiko napiga 3rd year wakaniambia tunakupeleka central na ushahidi upo so kwa huu msala huchomoki. Wakanirushia kwenye Cruiser lao.
Tukazozana we mwisho wakataka 200, walikuwa kama mtu 9 hivi wako full gwamba wana mikwasa kama yote nikaona nikifurukuta naweza nikapamba magazeti ya kesho. Nkawamegea 100 wakanitema ila nilipiga nao doria toka saa 5 mpaka saa 11 hivi jioni. Hio kitu siwezi sahau ilinitia stress sana.
Sijui ni kajala masanja.Umemsahau yule msanii alilipiwa na Wema Sepetu? Na wenzake
Waulize wadau humu wanamjua jina hadi kesi wanaijuia mi nimemsahau jina
Halafu hao wenyewe si ndio wateja wa hizo makitumwambie mbunge wako Kibajaji , mlinga na msukuma wabadilishe sheria, wao ndio wepo wengi ,
Jamani tunazungumza habari za miraa sio marisaa. Huyu ma hakujua ni kosa kubwa kuuza miraa?? Basi, atajifunzia huko huko jela na itakuwa funzo kwa wanaweLakini wanaopiga risasi na kuwatishia watu hadharani wapo wanapeta
Hahaha bablai. Dah kuna siku kidogo nidondoshe rumbesa ya veve kituo cha polisi. Hapo tumepeleka anja na ubaya tulimdaka mbele ya kituo tukawa hatuna namna maana mapai walikua wanatudere.Nakumbuka nilishawahi kupigwa laki kwa kesi ya kukutwa na picha tu za hio mirungi, nilikuwa na wana wanachanja wakapiga picha tukiwa geto flani.
The next day nikakumbana na wazee wa ngwasuma wakanityt wakaanza kupekua simu yangu na kukuta zile picha nikiwemo. Walikomaa niseme ile mirax nani ame supply nikawakataa maana ilikuwa msala af kipindi hiko napiga 3rd year wakaniambia tunakupeleka central na ushahidi upo so kwa huu msala huchomoki. Wakanirushia kwenye Cruiser lao.
Tukazozana we mwisho wakataka 200, walikuwa kama mtu 9 hivi wako full gwamba wana mikwasa kama yote nikaona nikifurukuta naweza nikapamba magazeti ya kesho. Nkawamegea 100 wakanitema ila nilipiga nao doria toka saa 5 mpaka saa 11 hivi jioni. Hio kitu siwezi sahau ilinitia stress sana.
Kifungo cha nje mkuu
Mkuu kwa sheria mpya; ,mirungi, bangi na dawa zote za kulevya hukumu ni maisha, haina mjadala.Hukumu haiendani na makosa, siasa tu!
Mirungi tu jela maisha..!!??
Dar watu walikutwa na cocain wakalipa fine 10M and walk free!!
ni haramuWaislamu ndio watumiaji wakubwa wa mirungi . Mirungi ni haramu au halali ktk Uislamu? Mwenye kujua anielimishe.