waziri2020
Senior Member
- May 31, 2019
- 190
- 451
Mwanaharakati wa Haki za Wanawake hapa nchini Joyce Kiria the super woman pamoja na Juma Raibu diwani wa Boma Mbuzi Manispaa Moshi wamsaidia mwanamke aliye daiwa kufumaniwa na mume wa mtu kupata matibabu
Akizungumza Mara baada kutembelewa nyumbani kwake Msaranga wilani Moshi Mkoani Kilimanjaro mwanamke Huyo Venna Esau Kimaro amesema kwamba Kwa jitihada za Joyce na Raibu zimefanikisha yeye kupata matibabu Mara baada kufuatilia jambo hilo kwa umakini na ukaribu zaidi
Amesema kwamba Joyce na Diwani huyo walifika kwa mwenyekiti wa kamati ya ulizi na usalama Mkoa kilimanjaro ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira na kumtembelea nyumbani kwako eneo la Msaranga Moshi Kilimanjaro kwa lengo la kumjulia hali na baadae kuagiza kupelekwa hospital ya Rufaa Mawezi kupata matibabu ambapo ameagiza mganga mkuu kumuhudumia mpaka apone
Venna alikanusha mbele ya mkuu wa mkoa na kamanda wa polisi wa mkoa wa kilimanjaro kwamba akufumaniwa na mume wa mtu Bali kilicho jitokeza Kwa mwanamke Huyo ni kumvamia wakati akiwa eneo la nyumba ya Biashara Bar akiwa na mwanaume uyo wakipanga biashara ya kumpangishia eneo la kufanyia biashara ya vinywaji bar
Amesema kwamba bila kuulizwa chochote alivamiwa na mwanamke alijulikana kwa jina la Agnes Mushi ambaye pia ni Mwalimu wa Shule binafsi itwayo Norther Highland iliyopo Moshi Mkoani Kilimanjaro
Wakati naendelea kuongea na mwanamke huyo alinivamia na kuanza kunipiga huku akishirikiana na mwezie walinipiga na kunivua Nguo zote na kubaki uchi na kunipigia Picha za video nikauliza kosa langu nini na kusema kwamba natembea na mwanaume wake jambo ambalo sio kweli nilikua na mazungumzo na Huyo bwana Juu ya kufungua Biashara ya bar na kusema kwamba mwalimu huyo pia alimwibia fedha kiasi cha shilingi laki Tisa na elfu saba alisema Venna
Mara baada ya kueleza tukio hilo alipelekwa hospital na gari la Polisi huku kamanda Polisi Mkoa Kilimanjaro aliwataka watuhumiwa kujitokeza kwani tuko hilo ni la jinai na msako wa kuwatafuta walipo kimbilia mwanamke Huyo na mumewe unaendelea
Amesema walio husika katika tuko hilo kumdhalilisha mwanamke huyo na kumpiga video wote watakamatwa na kuwaonya wananchi kujichukulia Sheria mkononi
Kwa upande wa mkuu wa mkoa amewataka Wanawake kuacha tabia ya kuisi Wanawake mwezao kwamba muda wote wakiwa na wanaume wanaendekeza mapenzi kwani kilicho tokea Kwa Mwananchi Huyo sio fumanisi Bali ni mazungumzo ya kibiashara
Mkuu wa Mkoa ameagiza Polisi kuwatafuta watuhumiwa wote wawili usiku namchana na kufikishwa mahakamani na kujibu tuhuma za kumpiga na kuzalilishaji ktk mitandao ya kijamii
Pia soma hapa
VIDEO: Fumanizi na kipigo kikali sana
Kilimanjaro: Mwanamke aliemfumania mwanamke mwenzake na kumpiga azungumza mazito
Akizungumza Mara baada kutembelewa nyumbani kwake Msaranga wilani Moshi Mkoani Kilimanjaro mwanamke Huyo Venna Esau Kimaro amesema kwamba Kwa jitihada za Joyce na Raibu zimefanikisha yeye kupata matibabu Mara baada kufuatilia jambo hilo kwa umakini na ukaribu zaidi
Amesema kwamba Joyce na Diwani huyo walifika kwa mwenyekiti wa kamati ya ulizi na usalama Mkoa kilimanjaro ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira na kumtembelea nyumbani kwako eneo la Msaranga Moshi Kilimanjaro kwa lengo la kumjulia hali na baadae kuagiza kupelekwa hospital ya Rufaa Mawezi kupata matibabu ambapo ameagiza mganga mkuu kumuhudumia mpaka apone
Venna alikanusha mbele ya mkuu wa mkoa na kamanda wa polisi wa mkoa wa kilimanjaro kwamba akufumaniwa na mume wa mtu Bali kilicho jitokeza Kwa mwanamke Huyo ni kumvamia wakati akiwa eneo la nyumba ya Biashara Bar akiwa na mwanaume uyo wakipanga biashara ya kumpangishia eneo la kufanyia biashara ya vinywaji bar
Amesema kwamba bila kuulizwa chochote alivamiwa na mwanamke alijulikana kwa jina la Agnes Mushi ambaye pia ni Mwalimu wa Shule binafsi itwayo Norther Highland iliyopo Moshi Mkoani Kilimanjaro
Wakati naendelea kuongea na mwanamke huyo alinivamia na kuanza kunipiga huku akishirikiana na mwezie walinipiga na kunivua Nguo zote na kubaki uchi na kunipigia Picha za video nikauliza kosa langu nini na kusema kwamba natembea na mwanaume wake jambo ambalo sio kweli nilikua na mazungumzo na Huyo bwana Juu ya kufungua Biashara ya bar na kusema kwamba mwalimu huyo pia alimwibia fedha kiasi cha shilingi laki Tisa na elfu saba alisema Venna
Mara baada ya kueleza tukio hilo alipelekwa hospital na gari la Polisi huku kamanda Polisi Mkoa Kilimanjaro aliwataka watuhumiwa kujitokeza kwani tuko hilo ni la jinai na msako wa kuwatafuta walipo kimbilia mwanamke Huyo na mumewe unaendelea
Amesema walio husika katika tuko hilo kumdhalilisha mwanamke huyo na kumpiga video wote watakamatwa na kuwaonya wananchi kujichukulia Sheria mkononi
Kwa upande wa mkuu wa mkoa amewataka Wanawake kuacha tabia ya kuisi Wanawake mwezao kwamba muda wote wakiwa na wanaume wanaendekeza mapenzi kwani kilicho tokea Kwa Mwananchi Huyo sio fumanisi Bali ni mazungumzo ya kibiashara
Mkuu wa Mkoa ameagiza Polisi kuwatafuta watuhumiwa wote wawili usiku namchana na kufikishwa mahakamani na kujibu tuhuma za kumpiga na kuzalilishaji ktk mitandao ya kijamii
Pia soma hapa
VIDEO: Fumanizi na kipigo kikali sana
Kilimanjaro: Mwanamke aliemfumania mwanamke mwenzake na kumpiga azungumza mazito