Morogoro

Morogoro

Mji kasoro bahari tuuu

"To know the enemy is half the victory"
 
Kwa mawazo yangu nafikiri kuwa ule ni mji mzuri sana ila tu umekosa bahari.
Ukizingatia upo karibu najiji la D'salaam.

Huo ni mtizamo wangu.
 
Yaani mjini mzuri sana pamoja hayo
umekosa Bahari.

Ingekuwa kama Tanga,Dsm,Lindi,Mtwara
na Znz zilikuwa na bahari kwasasa ungekuwa
juu mno.
 
Afwadhar nawe leo umeanzisha ka thread!!Umetumia sms nn kuwa haijawai post kitu yoyote??g afrernoon
 
Afwadhar nawe leo umeanzisha ka thread!!Umetumia sms nn kuwa haijawai post kitu yoyote??g afrernoon

mbn huwa naanzisha mara kibao...? sema labda ww huwa unaruka thread zangu... Ila cul, 1lv...
 
moro is automous in everything except seas.
 
Hivi kwa nini morogoro inaitwa mji kasoro bahari...?


Waluguru wananiiga kwa ubishi wao wanalazimisha kuita mji wao mji wakati hamna kitu cha maana. kwanza Morogoro haustahili kuitwa mji, ni mkoa mkubwa ila haujaendelea hata kidogo. Wale ni wakulima na wabishi sawa tu na Waha kutoka Kigoma, kulima na kubishana ndiyo wanaweza zaidi ila maendeleo ziro.
 
Yaani mjini mzuri sana pamoja hayo
umekosa Bahari.

Ingekuwa kama Tanga,Dsm,Lindi,Mtwara
na Znz zilikuwa na bahari kwasasa ungekuwa
juu mno.

Naona haujafika Morogoro wewe, ule mji? Mluguru atakaa kwenye nyumba ya gorofa ya udongo inayokaribia kuanguka atakuambia nyumba yake inashindana na Ikulu na atakuwa radhi kupigana nawe huku mkibishana kisa umemwambia ukweli na yeye hataki anataka tu uamini ayasemayo yeye. Chezea hisia za watu wafupi wewe, shauri yako.
 
Siku hizi tunasema 'MOROGORO MJINI KASORO MELI' bahari ni mindu
 
Naona haujafika Morogoro wewe, ule mji? Mluguru atakaa kwenye nyumba ya gorofa ya udongo inayokaribia kuanguka atakuambia nyumba yake inashindana na Ikulu na atakuwa radhi kupigana nawe huku mkibishana kisa umemwambia ukweli na yeye hataki anataka tu uamini ayasemayo yeye. Chezea hisia za watu wafupi wewe, shauri yako.
Hahahaah! Mkuu wewe ni kabila gani? Inaonekana waluguru ni watani zako.
 
Back
Top Bottom