Morogoro ndio home, tujikumbushie historia

Morogoro ndio home, tujikumbushie historia

stormed

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
212
Reaction score
42
afac3e2882da7a8a48a53692d6840106.jpg
 
eti mji kasoro bahari, kamji kenyewe kamebanaa na kana barabara moja tuu. kwa siku mtu unakutana naye road hata mara tano
 
MOrogoro ilikuwa ya zamani, Ukikaa Msamvu unaona maji yanatiririka juu ya mlima.

Kiubaridi cha Morogoro utadhani haupo Tanzania jinsi kinavyopendeza.

Lakini ajabu miaka hii mji wa Morogoro kunakuwa na mgao wa maji!!!!!!!!

Na hii inatokana na wageni toka amikoa mingine kuingia na kukata miti. Milima sasa hivi imekuwa kipara.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Uzuri wa murogoro ile huduma inayopatikana kayumba pale jion mjini kha!
 
morogoro pazur? Uzuri upi?

Ile hali ya hewa, halafu Mara nyingi nikiwa Moro mvua inanyesha...ts blessed land...

Napenda sana kwenda na baby Kule, jioni tunatoka, basi ile view ya milima mtoto wa kike najihisi kama Niko peponi, napapenda sana Moro....Siku moja ntahamia niishi hapo Inshaallah.
 
Ile hali ya hewa, halafu Mara nyingi nikiwa Moro mvua inanyesha...ts blessed land...

Napenda sana kwenda na baby Kule, jioni tunatoka, basi ile view ya milima mtoto wa kike najihisi kama Niko peponi, napapenda sana Moro....Siku moja ntahamia niishi hapo Inshaallah.

mkuu nakukaribisha sana. Sku
nyingne uje peke yako mm
ntakuwa mwenyeji wako.
Tutaenda rocky garden, tunaenda
viber yaan popote unapopataka ili
uifaid vzr moro. Karibu sana jiskie
upo na hubby wako
 
MOrogoro ilikuwa ya zamani, Ukikaa Msamvu unaona maji yanatiririka juu ya mlima.

Kiubaridi cha Morogoro utadhani haupo Tanzania jinsi kinavyopendeza.

Lakini ajabu miaka hii mji wa Morogoro kunakuwa na mgao wa maji!!!!!!!!

Na hii inatokana na wageni toka amikoa mingine kuingia na kukata miti. Milima sasa hivi imekuwa kipara.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Naweza kukubaliana ma wewe kwenye kutiririka kwa maji ila sikuwahi kuona maji yakitiririka tu kipindi ambacho hakuna mvua.

Kuhusu hali ya hewa, naona haijabadilika, ubaridi upo kama kawaida.
 
Hakuna kisicho badirika.kila kitu kimebadirika uwezi fanananisha moro na mikoa yote tanzaniaeti aijabadirika...ila morogoro ndio nyumbani ata pawe vipi ndio nyumbani...milima uluguru hadi tuliani milima nguru.safi sana
 

miaka ya 95 kipindi nipo shule ya msingi kiwanja cha ndege moro
ilikuwa poa Kwa bei za chakula ukiwa na mia 500 unaweza kura asubuhi mpaka jioni naombeni mnikumbushe jina la samaki wale wenye chumvi sana nimewasahau jina maana wale samaki hats ukiwachemsha tu ukitia pilipili mbuzi ugali unaenda bila shida
 
Hakuna kisicho badirika.kila kitu kimebadirika uwezi fanananisha moro na mikoa yote tanzaniaeti aijabadirika...ila morogoro ndio nyumbani ata pawe vipi ndio nyumbani...milima uluguru hadi tuliani milima nguru.safi sana

Masai geusti house bado hipo
 
Back
Top Bottom