Hahaha.... utakufa...
Reezrrdssz
Hahaha.... utakufa...
Hahaaa nguruka kaka.hapa mpka udenda hahaaaaaaa au uwachome ni hatari sana.moro kitambo ina historia mzurimiaka ya 95 kipindi nipo shule ya msingi kiwanja cha ndege moro
ilikuwa poa Kwa bei za chakula ukiwa na mia 500 unaweza kura asubuhi mpaka jioni naombeni mnikumbushe jina la samaki wale wenye chumvi sana nimewasahau jina maana wale samaki hats ukiwachemsha tu ukitia pilipili mbuzi ugali unaenda bila shida
Nguruka!!!miaka ya 95 kipindi nipo shule ya msingi kiwanja cha ndege moro
ilikuwa poa Kwa bei za chakula ukiwa na mia 500 unaweza kura asubuhi mpaka jioni naombeni mnikumbushe jina la samaki wale wenye chumvi sana nimewasahau jina maana wale samaki hats ukiwachemsha tu ukitia pilipili mbuzi ugali unaenda bila shida
mkuu nakukaribisha sana. Sku
nyingne uje peke yako mm
ntakuwa mwenyeji wako.
Tutaenda rocky garden, tunaenda
viber yaan popote unapopataka ili
uifaid vzr moro. Karibu sana jiskie
upo na hubby wako
Uandae na meno ya bandia manake utang'olewa meno bila ganzi...
mm nipoa tayar ww njoo tu
Hahahaa umepaniaaa, haya ntakuja
Nina kumbukumbu ya Morogoro ya miaka ya 70, kwa kweli ili kuwa Kama Switzerland, na kweli uharibifu wa mazingira ni mkubwa, Leo ukisema morogoro, nakumkumbuka sana mbaraka mwishehe, juma kilaza, shillingi, ngulungu, coco billy wa super volcano, na wengine waliojenga Jina la Mji huu . Tujaribu kutunza mazingiraHahaaa nguruka kaka.hapa mpka udenda hahaaaaaaa au uwachome ni hatari sana.moro kitambo ina historia mzuri
Watu kujikumbusha mji mliotoka, ulivyokuwa kuna ubaya gani? Kipi alichosema kinaashiria ukabila kuna watu wengi mashuhuri ambao walikuwa wametokea Morogoro,kama vile ilivyotoa wanasoka na wanamuziki wazuri enzi zake.acha ukanda,umkoa na ukabila,unataka kutambika?
Lione kwani hata aibu hunaeti mji kasoro bahari, kamji kenyewe kamebanaa na kana barabara moja tuu. kwa siku mtu unakutana naye road hata mara tano
Hahaaa aibu ya nn tena. Kwani uongo?Lione kwani hata aibu huna