Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiendelea na Kampeni ya Uchaguzi Mkuu kata ya Ngerengere Mkoa wa Morogoro leo tarehe 29 Agosti, 2025.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwaajili ya kufanya Mkutano wa Kampeni kata ya Ngerengere Mkoa wa Morogoro leo tarehe 29 Agosti, 2025.
Ahadi za Mgombea Urais Katika Mkutano wa Kampeni Kata ya Ngerengere, Mkoa wa Morogoro
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwaajili ya kufanya Mkutano wa Kampeni kata ya Ngerengere Mkoa wa Morogoro leo tarehe 29 Agosti, 2025.