TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,542
- 28,522
I like this. Ha ha haaaa!Tabasamu la Ki-DC
I like this. Ha ha haaaa!Tabasamu la Ki-DC
Nadhani hamfahamu vizuri Bwana Shaka so huwezi kuelewa nachomaanisha,Hazina kwa kipi alichofanya nchi hii MKUU,?? hats kama mnavuta bangi iliyochanganywa na mavi muwe mnajarbu kuficha ujinga wenuu!!
Ukisoma post namb #4 utaelewa tu. Kuna jamaa hakufurahishwa na maamuzi ya boss wake, lkn kwa sababu ya njaa ilimlazimu kuwa mpole na kumeza matapishi yake mwenyewe kwa kukipamba kile alichokiponda.Katibu mwenezi taifa mpaka ukuu wa wilaya,moyo wa mtu ni msitu akisemacho mtu uwenda sio aliyonayo moyoni.
yah mwanadamu maranyingi akishushwa toka juu kuja chini bila ridhaa au vinginevyo lazima kisununu kiwepo.Ukisoma post namb #4 utaelewa tu. Kuna jamaa hakufurahishwa na maamuzi ya boss wake, lkn kwa sababu ya njaa ilimlazimu kuwa mpole na kumeza matapishi yake mwenyewe kwa kukipamba kile alichokiponda.
Hakika, lakini maamuzi mengine huja na neema mbele yake. Anaweza akawekwa hapo ili kupewa uzoefu wa kufanya kazi za serikali. Mwisho wa siku baada ya miezi au miaka kadhaa ya mbele unashangaa anateuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani, baadae anapitishwa kwenye mchujo wa ubunge (mfano anashinda uchaguzi) mara anachaguliwa kuwa waziri wa wizara fulani nk.yah mwanadamu maranyingi akishushwa tuka juu kuja chini bila ridhaa au vinginevyo lazima kisununu kiwepo.
ndio na hilo nalo lipo,kina Msoga walianzia huko chini alipo Shaka sasa hivi inawezekana kabisa.Hakika, lakini maamuzi mengine huja na neema mbele yake. Anaweza akawekwa hapo ili kupewa uzoefu wa kufanya kazi za serikali. Mwisho wa siku baada ya miezi au miaka kadhaa ya mbele unashangaa anateuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani, baadae anapitishwa kwenye mchujo wa ubunge (mfano anashinda uchaguzi) mara anachaguliwa kuwa waziri wa wizara fulani nk.
Sahihi kabisa, huenda ni mbinu pia ya kumpa Uzoefu serikaliniHakika, lakini maamuzi mengine huja na neema mbele yake. Anaweza akawekwa hapo ili kupewa uzoefu wa kufanya kazi za serikali. Mwisho wa siku baada ya miezi au miaka kadhaa ya mbele unashangaa anateuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani, baadae anapitishwa kwenye mchujo wa ubunge (mfano anashinda uchaguzi) mara anachaguliwa kuwa waziri wa wizara fulani nk.
Kweli kabisa mkuu. Kitu kibaya zaidi katika siasa au uongozi wowote wa umma ni pale unapotumbuliwa kwa sababu fulan. Yani hata kama hizo sababu sio za kweli, ila kitendo cha kutumbuliwa tayari kinakuwa kishakuchafulia sifa (CV yako)ndio na hilo nalo lipo,kina Msoga walianzia huko chini alipo Shaka sasa hivi inawezekana kabisa.
Nasikia sio mchoyo... hata abakiwe na fundo moja la mkorogo anakupa!Yeah but is humble down the earth
Nahisi hivyo mkuu.Sahihi kabisa, huenda ni mbinu pia ya kumpa Uzoefu serikalini
ndio,wakati mwingine elimu ya uongozi ni muhimu,uongozi ni dhamana.Kweli kabisa mkuu. Kitu kibaya zaidi katika siasa au uongozi wowote wa umma ni pale unapotumbuliwa kwa sababu fulan. Yani hata kama hizo sababu sio za kweli, ila kitendo cha kutumbuliwa tayari kinakuwa kishakuchafulia sifa (CV yako)
Ila kuhamishwa kwa namna hii hakuharibu sifa japo heshima na ulaji (nikimaanisha mshahara) vinakuwa vimepungua
Bila shaka wewe una uzoefu mkubwa katika mambo ya uongozi aidha wa kifamilia, kiofisi nk. Kama ndio basi nakupa hongera kwa kuonesha namna unavyoweza kusimamia misingi ya uongozi kupitia comment zako.ndio,wakati mwingine elimu ya uongozi ni muhimu,uongozi ni dhamana.
haaa ,haya asante bwana🙏Bila shaka wewe una uzoefu mkubwa katika mambo ya uongozi aidha wa kifamilia, kiofisi nk. Kama ndio basi nakupa hongera kwa kuonesha namna unavyoweza kusimamia misingi ya uongozi kupitia comment zako.
Pamoja sana mkuuhaaa ,haya asante bwana🙏
Hazina kwa kipi alichofanya nchi hii MKUU,?? hats kama mnavuta bangi iliyochanganywa na mavi muwe mnajarbu kuficha ujinga wenuu!!
Unakataaje uteuzi wa Rais?Akatae alafu akale wapi?
we ujinga wako umeuweka matakoni?Hazina kwa kipi alichofanya nchi hii MKUU,?? hats kama mnavuta bangi iliyochanganywa na mavi muwe mnajarbu kuficha ujinga wenuu!!