Kunawatu huwa mnapeana taarifa za kimwenendo wa Jambo fulani!!!?.Muda huu hakuna gari inayotoka stand morogoro
Zimezuiliwa zote wanadai kuna msafara
Muda huu hakuna gari inayotoka stand morogoro
Zimezuiliwa zote wanadai kuna msafara
Ahahahahaha ndio yashakua maisha yetu sasa
Mambo ya kawaida sana haya wala si habari kubwa kwa sisi tuliozoea kusafiri barabara ya moro kuna misafara ambayo mingine naona kabisa haina tija huku mikoani gari huwa zinazuiwa ikitokea Mh rais au waziri mkuu anaenda kwenye ziaraMuda huu hakuna gari inayotoka stand morogoro
Zimezuiliwa zote wanadai kuna msafara
Tayali zimesharuhuaiwa,nipo hapaMuda huu hakuna gari inayotoka stand Morogoro
Zimezuiliwa zote wanadai kuna msafara
We ni chizi 😁😁😁shukeni kwenye magari mkapange foleni mkiwa na bendera na vitambaa vyeupee kupungia msafara, uzalendo ni muhimu
Viongozi wamezidi kuzurura uko Dodoma hapakaliki kabisa lijitu ijumaa linatoka Dodoma kula weekend Dar alafu Jumatatu linarudi Dodoma. ona sasa linasababisha watu wanakaa foleni zaidi ya masaa 3 wanachelewa kwenda kutafuta pesaMuda huu hakuna gari inayotoka stand Morogoro
Zimezuiliwa zote wanadai kuna msafara
Dah mgerasi umeandika kwa uchungu na hisia sana ukiwa hapo kwa shemeji yakoViongozi wamezidi kuzurura uko Dodoma hapakaliki kabisa lijitu ijumaa linatoka Dodoma kula weekend Dar alafu Jumatatu linarudi Dodoma. ona sasa linasababisha watu wanakaa foleni zaidi ya masaa 3 wanachelewa kwenda kutafuta pesa
Mkaldayo habari ya kopenihageni ya Tandale kwa bibi nyauDah mgerasi umeandika kwa uchungu na hisia sana ukiwa hapo kwa shemeji yako
Ndiyo,msubirie msafaraMuda huu hakuna gari inayotoka stand Morogoro
Zimezuiliwa zote wanadai kuna msafara
Misafara ya Viongozi imekuwa Kero kwa Wasafiri haswa kwa siku hizi za KaribuniMuda huu hakuna gari inayotoka stand Morogoro
Zimezuiliwa zote wanadai kuna msafara