Morocco ni kama Ulaya

Morocco ni kama Ulaya

Shytown

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2025
Posts
469
Reaction score
793
Kwa wale ambao hawajawahi kufuatilia maendeleo ya Nchi tofauti tofauti za Africa

Nafikiriki kupitia AFCON inayo endelea kwa sasa, wameweza kupata picha Morocco ni kama Ulaya.
Pamoja na kuwa na viwanja vya mpira vya hadhi ya Ulaya takriban 9 vikiwemo vya kupokea mashabiki takribani 95,000 kwa kiwanja kimoja

Wana miundombinu ya kuwapokea mashabiki wote ikiwemo malazi, kuwapeleka viwanjani na kuwarudisha bila shida yoyote, wana ustaarabu wa hali ya juu. Kule huwezi ona mashabiki sijui wanarusha chupa za maji uwanjani

Na kwa taarifa tu; Sio Morocco pekee, Nchi za kaskazini kama Misri, Tunisia, Algeria (libya ilivurugwa na mamluki) nk nk huko kaskazini mwa Africa wapo another level japo tunajiona wote tupo bara moja

Ninavyo ona Morocco wana hadhi kabisa ya kuandaa kombe la dunia japo wamepewa washirikiane nchi mbili 2030
 
Kwa standard waliyoionesha kwenye hii AFCON, Tanzania tuna kazi kubwa sana ya kufanya 2027
 
Toeni watu wanaofanya mazoezi barabarani Dar na daraja la Manzese wanachafua jiji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom