Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 814
Nimetembelea website ya makamu wa raisi, huwezi amini nilichokuta. Ni mitusi kwa kwenda Mbele, kwa maandishi na kuna muziki wa hiphop wa mitusi.. Kuna mtu anajiita Govt Attacker. Mr. Spam ..! Eti ni Mmoroco. Go visit The Vice-President's Office - Home - uone. Je hii inamaanisha nini kwa systems zetu za mawasiliano if we can be easily hacked like this??