Morning topic

Morogoroo

Member
Aug 17, 2018
28
12
Wadau habari za kuamka... Me napenda kujua, ikiwa umefanya mapenzi na mtu afu mmojawapo akachubuka wakat wa tendo uwezekano wa kupata Ukimwi upo hapo ikiwa mmoja ameshaathirika?? Nazungumzia ikiwa mmoja kapata michubuko halaf mwngne hajachubuka.. Naomba kuelimishwa hapo wakuu
 
Virus wanaingia kwa mwanaume kupitia hata tundu ya m. b. o. o hasa ikiwa umemwaga sperms kwa sababu H. I. V wanaambukizwa kwa kugusanisha maji maji ya mwili. Ukiweza kupiga bila kukojoa unapunguza risky ya kupata maambukizi kwa asilimia kubwa.
 
Ukimwi=upungufu wa kinga mwilini.
Kuchubuka au kutokuchubuka kuna uhusiano gani na upungufu wa kingamwili?

Ili usipate upungufu wa kingamwili, kula vizuri fanya mazoezi na upumzishe mwili.
 
Virus wanaingia kwa mwanaume kupitia hata tundu ya m. b. o. o hasa ikiwa umemwaga sperms kwa sababu H. I. V wanaambukizwa kwa kugusanisha maji maji ya mwili. Ukiweza kupiga bila kukojoa unapunguza risky ya kupata maambukizi kwa asilimia kubwa.
Huu ni uongo mkubwa sana mkuu. Kama hatuna uelewa mkubwa na masuala flani ni vema tukinyamaza tukawaachia uwanja
 
mzee ukishachubuka tu basi ujue ngoma unayo, ila unaweza kumla demu mwenye ngoma na usipate kama ulimwandaa freshi akawa ana maji mengi na hakuna mchubuko uliotokea , ila still unaweza kupata hata kama no mchubuko kama huyo demu ana virus count kubwa sana, yani ana virusi vingi hapo jiesabie tu maumivu baba mjomba
 
Back
Top Bottom