"Morning sight" Morogoro

"Morning sight" Morogoro

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,757
Nahitaji kufahamu sana Historia ya Eneo hili na Historia ya lile jengo pale, nasikiasikia kuna mengi sana na ya kuogofya pale, Waluguru na wakazi wa Morogoro karibuni
 
Ilikua makazi rasmi ya wajerumani kipindi cha ukoloni, pamoja na kanisa lake la kilutheri lililojengwa pembeni, pamoja na hayo walijenga pia shule pia walileta miche na maua mengi tu kutoka ujerumani
 
Ilikua makazi rasmi ya wajerumani kipindi cha ukoloni, pamoja na kanisa lake la kilutheri lililojengwa pembeni, pamoja na hayo walijenga pia shule pia walileta miche na maua mengi tu kutoka ujerumani
sawa sawa mkuu, lile jengo pale bado linatumika mpaka leo..?
 
nilienda huko mwaka 97 palikuwa pazuri sana!
last year nilitaka kwenda ni kaishia Bahati Camp nikakosa muda wa kufika morning sight
sijnui maajabu ya hulo mimi naona kawaida tu kama historical sight zingine
 
Pande zetu sana hizo kuanzia Rock Garden unapanda mpaka Bahati camp,Alaf tunatokea Shule ya Towero then tunapanda zaidi tunaelekea Morning Site..Jirani yangu alikuwa na kampuni ya kukata mbao iliitwa Morning site saw hill.
 
nilienda huko mwaka 97 palikuwa pazuri sana!
last year nilitaka kwenda ni kaishia Bahati Camp nikakosa muda wa kufika morning sight
sijnui maajabu ya hulo mimi naona kawaida tu kama historical sight zingine
maajabu au mambo hayo yalikuwa yakitokea enzi zile za wajerumani, ndio nataka kufahamu
 
Pande zetu sana hizo kuanzia Rock Garden unapanda mpaka Bahati camp,Alaf tunatokea Shule ya Towero then tunapanda zaidi tunaelekea Morning Site..Jirani yangu alikuwa na kampuni ya kukata mbao iliitwa Morning site saw hill.
asante mkuu
 
Hata sikumbuki niliishia wapi ila ni mita chache tu kufika morning sight.

Hebu tuelezee hayo maajabu ulosikia.
 
Back
Top Bottom