‘Morning Glory’ kwa wanandoa

Haujakosea hata moja hapo,wanakuwa wakali kama nini..
 
Nimekubali hii MORNING GLORY, mume wangu amekuwa akinipatia kila siku isipokuwa tu nikiwa MWEZINI, aisee unakuwa mwepesi sana kazini, lakini una furaha na muda wote ninakuwa na tabasamu nikikumbukia, yani Baba Frank natamani nirudi nyumbani tuendeleze.
Kama rais akisema tupumzike mwezi mzima wa corona aisee hii kitu nitashinda nayo nyumbani
 
Duh..kwa usawa huu sidhani kama utapata mke wa hivyo.!
Labda watakuwa kwenye ile sayari nyingine.
Walikuagepo enzi za mwalimu Nyerere ila siku hizi walishazeeka wengine walikufaga sa ivi wamebaki hawa wa haki sawa.
kaka yangu wapo, mimi mwenyewe nimekuwa nikifanyiwa mambo mazuri, yaani unaamka asubuhi unakuta baba kakuwekea mkono kifuani, unashusha tu night dress, anaanza mambo pale wee mpaka saa 12 na nusu anamaliza raundi ya kwanza, mnaoga kesho tena, yaani si ile mpaka apige raundi 3, hapama, raundi moja kila siku utaona kama upo mbinguni
 
Subirini mkue kwanza. Watoto wawili watatu, huyu anaenda shule yule analilia nyonyo huyu huku kaamka saa tisa usingizi umeisha.. hapo ndio morning glory inanoga zaidi. Ila kwa sasa mnaweza kuendelea ku injoi maana ndio muda wenu.
 
Subirini mkue kwanza. Watoto wawili watatu, huyu anaenda shule yule analilia nyonyo huyu huku kaamka saa tisa usingizi umeisha.. hapo ndio morning glory inanoga zaidi. Ila kwa sasa mnaweza kuendelea ku injoi maana ndio muda wenu.
Sawa asante, na kweli ndio maana siku hizi watoto wanapelekwa boarding, ni kupisha sisi wake tusuguliwe na tuwe na furaha ya ndoa
 
Barikiwa mkuu😎
 
safi sana mkuu waambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…