‘Morning Glory’ kwa wanandoa

Baadhi washenzi kweli
kuna mwingine hadi anadiliki kusema eti unamtesa.Anakukubalia glory huku hadi choz linamtoka(si unajua walivo wepes kulia) bas unavaa kumkimbia kwa kumwonea huruma utasikia"kweli nimeamin unamambo yako unafanya huko!! "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo na nyie mna-pampu kwanguvu, eboo
 
Duh poleni tatizo nn kwan ndoani? Mi mbona napenda sana kwichikwichi. Hahaaaaha au ndo kuchokanaaa au mazoeaaa mnakosa ubunifu au naniliuuu hHa haa au auuuu au au ukoloniiii "shkamoo mme wanguu"..au kukosea kuchagua..au hamuogi vzuriii daaah hatar teh teh hwhew!!! Auuuuuuu ok kama mwenzio hatak kukulamba cjui kukunyonya usimforce.
 
Duu umenena vema na kama uko hvo mmeo anafaidi.Ila kuna mdau huko juu kasema ndoa zima misim(yaan mnyauko na kuchanua) ila kinachoshangaza kipindi penzi limenyauka wenzetu mnataka men ndo aliibue upya kumbe ilitakiwa mshirikiane!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahaaaa, nimecheka kama mazuri vile. Pole ndugu hilo ndio chaguo lako, pambana na hali yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…