Morega Simon Mongate. Wahusika wataelewa!

Morega Simon Mongate. Wahusika wataelewa!

Zee Korofi

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2021
Posts
1,604
Reaction score
1,440
Habarini, majina hayo hapo juu ni maarufu mno kwa wahusika ambao wanajijua tena sana tu,

Watakuja wenyewe kufunguka hapa.

Uzi tayari!
 
Mtaalamu wa Hesabu, yuko wapi huyu jamaa siku hizi?! Stori nyingi sana akiwa darasani na ana sauti yake flani hivi ya kimamlaka utafrahi mwenyewe kumskiliza
 
Aliletwa shule moja mkoa wa mara wanafunzi walimkataa sababu ya unoko wake na rekodi ya huko alikotoka. Pia ni mchawi mchawi
 
Habarini, majina hayo hapo juu ni maarufu mno kwa wahusika ambao wanajijua tena sana tu,

Watakuja wenyewe kufunguka hapa.

Uzi tayari!
Wanasema huyu ni mtu wa kitengo, kwasasa yupo huko Bukoba kama Afisa Elimu Sekondari. Ila yule jamaa kwenye masuala ya uongozi na utawala ameiva sana.
 
Wanasema huyu ni mtu wa kitengo, kwasasa yupo huko Bukoba kama Afisa Elimu Sekondari. Ila yule jamaa kwenye masuala ya uongozi na utawala ameiva sana.
Sidhani kama anaweza kuwa tithi, rekodi zake hazi match kwa yeye kuwa tithi
 
Back
Top Bottom