Morega Simon Mongate. Wahusika wataelewa!

Morega Simon Mongate. Wahusika wataelewa!

Kiburi

Mjeuri

Katili

Mtata

Mpigaji (Mbadhilifu)

Mshirikina (hii imesemwa toka akiwa second master Mara Sec)

Ni visa vingi vy huyu mwamba

Akiwa Oswald Mang'ombe (hii ilikuwa shule iliyojengwa na Nimrod Mkono Mb) aliwahi kuwachapa viboko wakina mama aliowakuta wanaokota kuni eneo la shule

Pale Oswald Mang'ombe alitoka kwa jasho na damu... wanafunzi wamemng'oa ila yeye kakatalia documents eti hadi hao wanafunzi wachukuliwe hatua dah!!

Huwa nashangaa kusikia boys wa Ndada wanamsifia sanaaa
 
Kiburi

Mjeuri

Katili

Mtata

Mpigaji (Mbadhilifu)

Mshirikina (hii imesemwa toka akiwa second master Mara Sec)

Ni visa vingi vy huyu mwamba

Akiwa Oswald Mang'ombe (hii ilikuwa shule iliyojengwa na Nimrod Mkono Mb) aliwahi kuwachapa viboko wakina mama aliowakuta wanaokota kuni eneo la shule

Pale Oswald Mang'ombe alitoka kwa jasho na damu... wanafunzi wamemng'oa ila yeye kakatalia documents eti hadi hao wanafunzi wachukuliwe hatua dah!!

Huwa nashangaa kusikia boys wa Ndada wanamsifia sanaaa
Mmmmmmmmh! Unaonekana unamfahamu nje ndani. Ulisoma Ndanda? Umechambua uchambuzi mfupi ila wa kisomi sana.

Sasa wanafunzi walimng'oa vipi? Waliandamana?
 
Mmmmmmmmh! Unaonekana unamfahamu nje ndani. Ulisoma Ndanda? Umechambua uchambuzi mfupi ila wa kisomi sana.

Sasa wanafunzi walimng'oa vipi? Waliandamana?
Jamaa alikuwa headmaster wangu nikiwa advance pale Oswald Mang'ombe

Yeye na Nimrid Mkono walikuwa hawapikiki chungu kimoja... mara kadhaa tu Mkono alionesha kutomkubali hata mbele ya wanafunzi

Inshu ya kuwa strictly nadhani ilikuwa ni mbinu ya kufanya aogopwe na wanafunzi pamoja na walimu wenzie ili azidi kupiga pesa kizembe
 
Jamaa alikuwa headmaster wangu nikiwa advance pale Oswald Mang'ombe

Yeye na Nimrid Mkono walikuwa hawapikiki chungu kimoja... mara kadhaa tu Mkono alionesha kutomkubali hata mbele ya wanafunzi

Inshu ya kuwa strictly nadhani ilikuwa ni mbinu ya kufanya aogopwe na wanafunzi pamoja na walimu wenzie ili azidi kupiga pesa kizembe
Mmmh! Ni kweli alikuwa mfitini?

Halafu hapo pa kutopikika chungu kimoja na Nimrod Mkono sijaelewa. Umesema Nimrod Mkono ni Mbunge, sasa aliwezaje ku interact na Mwalimu?

Au huyo Nimrod alikuwa head master?

Na je, Nimrod alikuwa akimuogopa pia Morega?
 
Mmmh! Ni kweli alikuwa mfitini?

Halafu hapo pa kutopikika chungu kimoja na Nimrod Mkono sijaelewa. Umesema Nimrod Mkono ni Mbunge, sasa aliwezaje ku interact na Mwalimu?

Au huyo Nimrod alikuwa head master?

Na je, Nimrod alikuwa akimuogopa pia Morega?
Hapo awali nimesema kuwa Nimrod Mkono ndiye aliyejenga shule ya Oswald Mang'ombe na kuikabidhi kwa serikali hivyo alikuwa na access ya kutembelea majengo yake pale anapojisikia

Hata hivyo ile shule ilibadilishwa kuwa Chuo
 
Back
Top Bottom