Leslie Mbena
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 207
- 677
MORE MAGUFULI,MORE REFORMS, TUMUONGEZEE MUDA MAGUFULI.
Leo 16:15pm 10/06/2020
Maelezo ama narrative ya viongozi wengi awamu ya tatu na nne zilikuwa zina-reflect namna ya kugawana mapato ya Taifa la Tanzania, kuuza vitalu, kuuza madini, mikataba mibovu.
Kwa ujumla narrative za viongozi katika awamu zilizopita zilionyesha namna ya kugawana keki ya Taifa iliyokuwa inapatikana nchini,namna ya kuvuna vyeo,utajiri na kuzistawisha familia zao,
Awamu tatu zilizopita ukiwa na cheo Serikalini basi ulikuwa unakuwa maarufu hata kama taasisi yako ama Wizara yako haina uimara wala tija yoyote katika Taifa.
Rais Magufuli amebadili gia angani, amewatenga vinara wa ugavi wenye mazoea ya kugawana keki ya Taifa huku watu Milioni 60 wakibaki masikini wakichekwa hata na Kenya!
Yapo ambayo Rais Magufuli hajayasimamia kwa upungufu wa pato la Taifa lakini in the process anaendelea kurekebisha kila mahali ili pato liweze kuongezeka na kuwezesha kufanya mambo makubwa zaidi,
Rais Magufuli licha ya upungufu wa pato la Taifa amechagua miradi mikubwa ya kimkakati ya matrilioni ya hela ambayo kwa kweli japo inakula hela nyingi lakini ni ya manufaa sana kwa Taifa na ni miradi endelevu itayoleta tija kwa kizazi cha Sasa hata vizazi kumi vijavyo,
Tupo Watanzania Milioni 60 lakini nikiri wazi Magufuli ni mmoja tu kati ya watu Milioni 60,Magufuli mmoja anawakilisha takribani nusu ya Watanzania ambao sauti zao zilikuwa zinaminywa na Watanzania wachache matajiri,
Kwa miaka mingi Watanzania waliitaji mtu wa kuyasemea matatizo yao lakini hakupatikana hadi alipokuja Magufuli,ndio maana kila mtu anamuona Magufuli kama katoka sayari nyingine kwa kuwa Watanzania Milioni 60 kwa miaka 30 baada ya Nyerere walikosa Kiongozi anayemaanisha anachoongea na kufanya,
Niungane na kila mmoja kusema,Kama Magufuli atapata muda zaidi ina maana more reforms,mabadiliko zaidi,Viwanda zaidi,Uchumi wa nchi zaidi,Uadilifu zaidi,uchapakazi zaidi na Uzalendo zaidi,
Otherwise tuanze ku support hizi reforms anazofanya ili ziweze kujenga narrative mpya ya taifa na ziweze kujenga vigezo vipya vya aina ya uongozi tunaoutaka kwa nchi yetu, tuviingize kwenye mjadala wa taifa na ndivyo vitumike kupata kiongozi mpya baada ya Magufuli na wasomi wetu wabadilike na waanze kuwaza namna ya kubuni zana za uzalishaji mkubwa utakaotosheleza mahitaji yetu ya nchi na lifestyles zetu. otherwise kama alivyodokeza mbunge Kessy tutarudi kule kule endapo tutakosa mtanzania mmoja wa kuwa Rais mwenye kufanana na Rais Magufuli.
@TumpeMudaZaidiMagufuli.
#MoreReformsMagufuliTena.
Tanzania 🇹🇿 kwanza 🙏🏼
Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master's in Leadership and Management.
-Research;Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Leo 16:15pm 10/06/2020
Maelezo ama narrative ya viongozi wengi awamu ya tatu na nne zilikuwa zina-reflect namna ya kugawana mapato ya Taifa la Tanzania, kuuza vitalu, kuuza madini, mikataba mibovu.
Kwa ujumla narrative za viongozi katika awamu zilizopita zilionyesha namna ya kugawana keki ya Taifa iliyokuwa inapatikana nchini,namna ya kuvuna vyeo,utajiri na kuzistawisha familia zao,
Awamu tatu zilizopita ukiwa na cheo Serikalini basi ulikuwa unakuwa maarufu hata kama taasisi yako ama Wizara yako haina uimara wala tija yoyote katika Taifa.
Rais Magufuli amebadili gia angani, amewatenga vinara wa ugavi wenye mazoea ya kugawana keki ya Taifa huku watu Milioni 60 wakibaki masikini wakichekwa hata na Kenya!
Yapo ambayo Rais Magufuli hajayasimamia kwa upungufu wa pato la Taifa lakini in the process anaendelea kurekebisha kila mahali ili pato liweze kuongezeka na kuwezesha kufanya mambo makubwa zaidi,
Rais Magufuli licha ya upungufu wa pato la Taifa amechagua miradi mikubwa ya kimkakati ya matrilioni ya hela ambayo kwa kweli japo inakula hela nyingi lakini ni ya manufaa sana kwa Taifa na ni miradi endelevu itayoleta tija kwa kizazi cha Sasa hata vizazi kumi vijavyo,
Tupo Watanzania Milioni 60 lakini nikiri wazi Magufuli ni mmoja tu kati ya watu Milioni 60,Magufuli mmoja anawakilisha takribani nusu ya Watanzania ambao sauti zao zilikuwa zinaminywa na Watanzania wachache matajiri,
Kwa miaka mingi Watanzania waliitaji mtu wa kuyasemea matatizo yao lakini hakupatikana hadi alipokuja Magufuli,ndio maana kila mtu anamuona Magufuli kama katoka sayari nyingine kwa kuwa Watanzania Milioni 60 kwa miaka 30 baada ya Nyerere walikosa Kiongozi anayemaanisha anachoongea na kufanya,
Niungane na kila mmoja kusema,Kama Magufuli atapata muda zaidi ina maana more reforms,mabadiliko zaidi,Viwanda zaidi,Uchumi wa nchi zaidi,Uadilifu zaidi,uchapakazi zaidi na Uzalendo zaidi,
Otherwise tuanze ku support hizi reforms anazofanya ili ziweze kujenga narrative mpya ya taifa na ziweze kujenga vigezo vipya vya aina ya uongozi tunaoutaka kwa nchi yetu, tuviingize kwenye mjadala wa taifa na ndivyo vitumike kupata kiongozi mpya baada ya Magufuli na wasomi wetu wabadilike na waanze kuwaza namna ya kubuni zana za uzalishaji mkubwa utakaotosheleza mahitaji yetu ya nchi na lifestyles zetu. otherwise kama alivyodokeza mbunge Kessy tutarudi kule kule endapo tutakosa mtanzania mmoja wa kuwa Rais mwenye kufanana na Rais Magufuli.
@TumpeMudaZaidiMagufuli.
#MoreReformsMagufuliTena.
Tanzania 🇹🇿 kwanza 🙏🏼
Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master's in Leadership and Management.
-Research;Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.