Morally African Intellectuals dislike politics. The cause of the poverty

winnerian

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
335
530
1698401725906.jpeg
 
Huo ndiyo ukweli.

Katika Africa, uongozi umefanywa kuwa ni mahali pa wenye akili ndogo, maadili duni au mahali pa watu waliokosa mbinu nyingine za maisha. Na ndiyo maana watu hao hawapo tayari kuukosa uongozi iwe kwa shari au amani, maana wakikosa uongozi, wakale wapi?

Lakini ukweli ni kwamba, kama mbele ya safari mmemweka kipofu aongoze njia, yeye na ninyi mlio nyuma yake, hamwezi kufika mlikotaka kufika. Hii ndiyo sababu ya Afrika, na hasa Tanzania, hata ipite miaka mingapi, kwa aina za viongozi tunaokuwa nao, tutaendelea kuwa kama tulivyo.
 
Naked truth,na ni ukweli ulio dhahiri na usio tia shaka ,ndio maana Mwanafalsafa Plato aliweka msisitizo thabiti kuhusu "Philosopher king"
 
Politicians worldwide kwa sasa ni opportunists; wale pioneers na waliokuwa wana-fight for change no longer exist... (its politics of Survival and Attack; Waliopo Madarakani wanagombania kubaki hapo wanaotaka kuingia ili wale wanagombana kufikia hapo)

Tutaendelea hivyo hivyo mpaka watu / the majority watakapokuwa more informed hence determinants of their own destinies na maamuzi; that will be the next revolution as the Status Quo is not fit for purpose...

Na kwa teknolojia tuliyonayo na inavyoendelea kupatikana itafika wakati ambapo watu hawatakubali destiny zao na maisha yao yawe mikononi ya genge la wachache... But its going to get worse before it gets better..... (Sio Africa tu hata Western na Eastern the current so called Democracy is showing its Cracking)

We are current at the times in which Direct Democracy is a Possibility -Real Power to the People (But it might never happen sababu wanufaika will not peacefully make that happen) - Its the law of the Fishes - Matsya Nyaya
 
Huo ndiyo ukweli.

Katika Africa, uongozi umefanywa kuwa ni mahali pa wenye akili ndogo, maadili duni au mahali pa watu waliokosa mbinu nyingine za maisha. Na ndiyo maana watu hao hawapo tayari kuukosa uongozi iwe kwa shari au amani, maana wakikosa uongozi, wakale wapi?

Lakini ukweli ni kwamba, kama mbele ya safari mmemweka kipofu aongoze njia, yeye na ninyi mlio nyuma yake, hamwezi kufika mlikotaka kufika. Hii ndiyo sababu ya Afrika, na hasa Tanzania, hata ipite miaka mingapi, kwa aina za viongozi tunaokuwa nao, tutaendelea kuwa kama tulivyo.
Hakika.
 
Back
Top Bottom